IFAC
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 3,632
- 9,159
Sote tunajua lengo kuu la Chama Cha Siasa ni kushika Dola.
Duniani kote vyama vinavyotarajia kushika dola huwa vinakuwa na ajenda, mipango na ratiba jinsi zitakavyo kwenda kushika dola.
Chama kilichotarajiwa na wengi Kutoa mawazo mbadala, kuonyesha mapungufu ya kimfumo na kiserikari.
Kuonyesha njia mbadala kunapokuwa na mkwamo wa kitaifa.
Kimeamua kuungana na mkoloni mweusi.
Je, kinafaa kuaminiwa?
Je, kinafaa kutumainiwa?
Je, kiendelee kushika ukamanda wa waamini mageuzi nchini?
Ukiwaza hapo juu, unagundua Sasa kinatoka kwenye misingi yake.
Ni vyema kusifu ila sio kuabudu maana Toka kipitishwe kwenye tanuri la moto badala ya kuuzidi kuwa kigumu kama chuma ila chenyewe kinazidi kulegea na viongozi wake wakizidi kuwa kupe na chawa.
Tukiamini hiki au tuunde kingine chenye kubeba maoni, mawazo na fikra za Tanzania mpya ya maendeleo Sasa na baadae?
View attachment 2542155
Duniani kote vyama vinavyotarajia kushika dola huwa vinakuwa na ajenda, mipango na ratiba jinsi zitakavyo kwenda kushika dola.
Chama kilichotarajiwa na wengi Kutoa mawazo mbadala, kuonyesha mapungufu ya kimfumo na kiserikari.
Kuonyesha njia mbadala kunapokuwa na mkwamo wa kitaifa.
Kimeamua kuungana na mkoloni mweusi.
Je, kinafaa kuaminiwa?
Je, kinafaa kutumainiwa?
Je, kiendelee kushika ukamanda wa waamini mageuzi nchini?
Ukiwaza hapo juu, unagundua Sasa kinatoka kwenye misingi yake.
Ni vyema kusifu ila sio kuabudu maana Toka kipitishwe kwenye tanuri la moto badala ya kuuzidi kuwa kigumu kama chuma ila chenyewe kinazidi kulegea na viongozi wake wakizidi kuwa kupe na chawa.
Tukiamini hiki au tuunde kingine chenye kubeba maoni, mawazo na fikra za Tanzania mpya ya maendeleo Sasa na baadae?
View attachment 2542155