Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Ndio maana mm nimewaambia ni utapeli mm tu.
Truly , Young generation huwa wanafata Announcement Ila sio Truth.


Wakisia kitu kimeingia wanafata

Kuna jamaa yangu amesoma degree ya ualimu wa Early childhood akijua anasoma jambo la maana kumbe that was another Motherfucker anasomea.

Some degree , diploma n.k hasa hapa Tanzania zilianzishwa in business wise na sio ku respond mahitaji ya jamii.

The same watu wanavyo-brag kusoma Science anapoteza miaka mitano kusoma theory ambazo zinakuwa replaced na technology.

Kwa sasa mtoto wa miaka 15 anaweza kuandika thesis ya PhD

Kupitia technology .
 
Nilisoma diploma ya procurement miaka hiyo nikaajiriwa moja ya warehouse za mgodi x... na mshahara basic ilikua 1.6m bado overtime na dili za hapa na pale

Sasa niambie wewe form 6 liver unaajirika wapi..?

Ukikua utaelewa
Kwa vigezo vya on job training na apprenticeship nikikuolezeshea hapa nahisi nitachoka.
 
Truly , Young generation huwa wanafata Announcement Ila sio Truth.


Wakisia kitu kimeingia wanafata

Kuna jamaa yangu amesoma degree ya ualimu wa Early childhood akijua anasoma jambo la maana kumbe that was another Motherfucker anasomea.

Some degree , diploma n.k hasa hapa Tanzania zilianzishwa in business wise na sio ku respond mahitaji ya jamii.

The same watu wanavyo-brag kusoma Science anapoteza miaka mitano kusoma theory ambazo zinakuwa replaced na technology.

Kwa sasa mtoto wa miaka 15 anaweza kuandika thesis ya PhD

Kupitia technology .
Kuna watu niliwaambia kunako elekea kuna siku mbogamboga watachallenjiwa na madogo wa form one watu wakabisha.
 
Sina elimu yoyote Auntie
Nina elmu Dunia tu
😁
giphy 39.GIF
 
Back
Top Bottom