Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Umuhimu wa A level kwangu ni huu

1. A-level inaruhusu kufanya makosa kwasababu unaweza feli mwanzoni, mwishoni ukakaza ukafaulu NECTA. GPA ya kila semester inaamua hatma yako kwenye Diploma.

2. Vyuo vingi vya nje havitambui diploma, ni ngumu kwenda bila ACSEE.

3. Diploma ni mwaka 1 zaidi wa kukaa shule. Kumaliza shule mapema kuna faida zake.

4. Mara nyingi A-level ni nafuu kuliko Diploma.

5. Kwa masomo ya sayansi na uhandisi, A-level inajenga msingi mzuri sana wa hisabati na fizikia. Haya masomo yanafundishwa Diploma ila wanafunzi hawashurutishwi(fimbo😁) mwishowe wanashika machache.



Hayo ni maoni yangu kama mtu wa Diploma.
1.Diploma ni mwaka wa mwisho tu hivyo GPA ni average ya semester mbili tu.

2. Uongo vyuo vingi tu huko nje vinatambua Diploma, tena huko nje, wale waliopita diploma wanasoma miaka michache degree.

3. Sio diploma zote ni miaka 3

4. Ni sawa Diploma ni gharama

5.Ujue kwenye kazi hizo za science hazitaki maneno, ni mwendo wa kazi tu, hapo wengine wenye theory kichwani hawajui kufanya application.
 
1.Diploma ni mwaka wa mwisho tu hivyo GPA ni average ya semester mbili tu.

2. Uongo vyuo vingi tu huko nje vinatambua Diploma, tena huko nje, wale waliotika diploma wanasoma miaka michache degree.

3. Sio diploma zote ni miaka 3

4. Ni sawa Diploma ni gharama

5.Ujue kwenye kazi hizo za science hazitaki maneno, ni mwendo wa kazi tu, hapo wengine wenye theory kichwani hawajui kufanya application.
1. Sio vyote, kuna vinavyozinagatia 'cumulative GPA.'

2. Sio kweli kama hutoweza kuthibitisha.

5. Kwa mafundi sawa, ila kwa wahandisi wanaotakiwa kuwa na ujuzi mpana wa kutatua matatizo mapya, hapana.
 
Tatizo ni wewe ndo huna akili, hizo elimu zote wala hazina shida.
Shida ipo sana ingekuwa ni hivyo. Nisingeona 2025 watu wanawekeza kwenye vituo vya mafuta. Huku Elon musk anaevikwepa anakua tajiri huku. Mnaojiita wasomi na wenye akili mpompo tu.
 
Shida ipo sana ingekuwa ni hivyo. Nisingeona 2025 watu wanawekeza kwenye vituo vya mafuta. Huku Elon musk anaevikwepa anakua tajiri huku. Mnaojiita wasomi na wenye akili mpompo tu.
Enh, we na Advance au Diploma yako umeisaidiaje jamii katika hilo kabla ya kuanza kuilaum elimu?
 
1. Sio vyote, kuna vinavyozinagatia 'cumulative GPA.'

2. Sio kweli kama hutoweza kuthibitisha.

5. Kwa mafundi sawa, ila kwa wahandisi wanaotakiwa kuwa na ujuzi mpana wa kutatua matatizo mapya, hapana.
1. Mzee hivi unaelewa maana ya Diploma??? Yani wachukue matokeo ya NTA level 4 ?? Ambayo sio Diploma !!!!Hebu tikisa ubongo wako vizuri tu.

2. Google. Hiko kitu kilikuwepo sana tu Bongo, still bado kipo kwa baadhi Taasisi za kielimu mfano ATC
 
1. Sio vyote, kuna vinavyozinagatia 'cumulative GPA.'

2. Sio kweli kama hutoweza kuthibitisha.

5. Kwa mafundi sawa, ila kwa wahandisi wanaotakiwa kuwa na ujuzi mpana wa kutatua matatizo mapya, hapana.
5. Kutatua Matatizo mapya au uvumbuzi haiitaji maneno maneno Mkuu ni practical experience.
Yani ukae tu kwenye kiti alafu u solve mambo ???
 
1. Mzee hivi unaelewa maana ya Diploma??? Yani wachukue matokeo ya NTA level 4 ?? Ambayo sio Diploma !!!!Hebu tikisa ubongo wako vizuri tu.

2. Google. Hiko kitu kilikuwepo sana tu Bongo, still bado kipo kwa baadhi Taasisi za kielimu mfano ATC
1. Amini kuna vyuo wanafanya hivyo mfano MUST, DIT na TIA.

2. Hamna, wizara za elimu za nchi za nje zote zinatambua ACSEE tu.
 
5. Kutatua Matatizo mapya au uvumbuzi haiitaji maneno maneno Mkuu ni practical experience.
Yani ukae tu kwenye kiti alafu u solve mambo ???
Haukai tu kwenye kitabu, unaielewa vizuri misingi kwanza halafu ndo unaingia kwenye practical.
 
Back
Top Bottom