5. Kutatua Matatizo mapya au uvumbuzi haiitaji maneno maneno Mkuu ni practical experience.
Yani ukae tu kwenye kiti alafu u solve mambo ???
Hapa Tanzania Kama u me some a hapa hakuna utaalamu wowote unaweza ukawa nao ambao competitive.
Ndo maana degree Holder Viwandani , viwanda vikubwa wanalamba 700K -800K
Na wapo wachache
Kwanini Science au technology ukiwa the owner wewe ndo unafaidika Sana
Mfano nimeona madogo wanaambizana kusoma( AI )
Ila wakimaliza wanaenda Kuwa Jobless AGAIN
Means technology inamfaidisha the owner
Mfano Bakhressa kupitia AI ataweza kupunguza Accountants
Atapunguza watu sales and marketing.
N.k
Hivyo badala ya kuangaika kusoma science uchwara ni bora utafute skills za Ku-run Kazi zako
Viwanda vinanunua machines za kubonyeza , kupima u bora n.k
Yaani ndo unakuta kozi hiyo uliisomea chuo miaka 4 n.k
Sasa inakuwa replaced.
Kwahiyo kusoma technology is important Ila kuimiliki ndo kila kitu.