Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 1,066
- 1,491
- Thread starter
- #161
Mbona makasiriko twende kwa hoja.Jamaa mjinga kiwango cha SGR!
Anajifanya mjanja,kumbe kichwa kitupu!
Mbona makasiriko twende kwa hoja.Jamaa mjinga kiwango cha SGR!
Anajifanya mjanja,kumbe kichwa kitupu!
Una hoja gani?Mbona makasiriko twende kwa hoja.
Kujua technolojia nyuma ya. Nakufanya research mpya.Kwenye solar kuna complexity ipi kutumia A_level knowledge?
Bob mbona unadharau sana unanijua lakini.Una hoja gani?
Hii uliyosema ulipata III A - level?
Nikujue wa nini?Bob mbona unadharau sana unanijua lakini.
Ili kufunga solar kunahitaji mfungaji kujua teknolojia juu ya utengenezwaji wake?Kujua technolojia nyuma ya. Nakufanya research mpya.
Mm nimekwambia A level haini saidi tu kujua kufunga Solar inanifanya nijue technolojia nzima nyuma ya solar.Ili kufunga solar kunahitaji mfungaji kujua teknolojia juu ya utengenezwaji wake?
A - level mtaala upi uko na haya usemayo?Mm nimekwambia A level haini saidi tu kujua kufunga Solar inanifanya nijue technolojia nzima nyuma ya solar.
Makasiriko yako yamenifanya nijue hujapita A levelNikujue wa nini?
Si umesema sijapita A - level?
Maana yake wewe unanijua,basi tulia,endelea kujijaza upumbavu.
Huwezi kupotosha suala sensitive kama elimu,au kuanza kudanganya ufungaji solar eti unatumia complex theory za A - level,huu ni upumbavu kiwango cha PhD.
Huyu inaonekana Diploma yenyewe alishindwa kuikamilisha kafeli kwa kuishia NTA level 4 ndio maana makasiriko ni mengi. Na hata katika uzi wake kasema kasoma NTA level 4 sasa kipi kilimfanya aishie certificate badala ya kumalizia hadi Diploma?Wewe ni mpumbavu tu,unajifanya mjuaji ila hujui lolote!
Nakuuliza tena,kwenye solar kuna complexity gani hadi ufike A-level ndio uweze kuifanya?
Kuhusu kupita A - level,mimi hunishindi lolote,hakuna elimu sijapita au kuifanya hapa Tanzania.
Wewe endelea kuandika ujinga tu.
Unasema issue za solar,batteries,wattage,kuna nini kipya Hadi ufike A - level kujua?
Unaongelea A - level,wakati watu tumesoma hadi elimu za nje,na tumefanya kazi lab zao,na hatuna mambo mengi.
Wewe kufeli A - level na kurud diploma,ndio tatizo.
Huwezi kusema A - level uko vizuri kwenye theories eti diploma hawasomi.
Una shida.
Maarifa yapi? Kwa hiyo huelewi kuwa solar panel inafanya kazi kupitia photo- electric effect na inafanikishwa kupitia photo- diode inayotengenezwa na silicon kutoka kwenye mchanga ambapo hiyo ndio basic ya solar panel. Au huko A level kwenu walikuwa hawafundishi.A - level mtaala upi uko na haya usemayo?
Pia,unadhani mtu hadi afike A - level ndio aelewe hizo mambo?
Wewe ukiwa na uelewa mdogo au limited access kupata taarifa/maarifa sio wote.
Nakuhakikishia,mimi kuna mambo nimejua hata kabla sijafika chuo,sio A -level.
Makasiriko yapi mzee uzuri karatasi lipo la NTA level 4 lipo. Na kuna module nilitaka kuifanyia application nikaelewa kuwa nimepigwa ilibidi nirudi elimu Ya A level kwa msaada wa juu.Huyu inaonekana Diploma yenyewe alishindwa kuikamilisha kafeli kwa kuishia NTA level 4 ndio maana makasiriko ni mengi. Na hata katika uzi wake kasema kasoma NTA level 4 sasa kipi kilimfanya aishie certificate badala ya kumalizia hadi Diploma?
Course ipi?Makasiriko yapi mzee uzuri karatasi lipo la NTA level 4 lipo. Na kuna course nilitaka kuifanyia application nikaelewa kuwa nimepigwa ilibidi nirudi elimu Ya A level kwa msaada wa juu.
Makasiriko yako yamenifanya nijue hujapita A level
Serious unaandika haya kuwa nae ni mambo ya kujadili?Maarifa yapi? Kwa hiyo huelewi kuwa solar panel inafanya kazi kupitia photo- electric effect na inafanikishwa kupitia photo- diode inayotengenezwa na silicon kutoka kwenye mchanga ambapo hiyo ndio basic ya solar panel. Au huko A level kwenu walikuwa hawafundishi.
Ni module sio course nimekoseaCourse ipi?
Ulikuwa una somea kitu gani?
Na kwa sentensi hii uliyotoa "kuna course nilitaka kuifanyia application" inamaana ulikuwa unataka kusoma Diploma kwa njia ya kuunga unga kama Waziri wako Wanu.
Tuanzie kwanza katika mzizi mkuu kwa kujibu hayo maswali kabla ya kuhitimisha Diploma vs A level.
Unae elewa sana niambie mengine yawezekana nayo yafahamu mimi kuhusu solar energy ni madogo. We sema na wengine wajue maana wenda tunakosa fursa wakati jua African linawakaa kupita kiasi.Serious unaandika haya kuwa nae ni mambo ya kujadili?
Nani hajui?
Dah.
Una uelewa mdogo sana wa mambo na hujui hilo.
Haya tufanye ni module sawa umekosea. Bado maswali yangu yapo pale pale.Ni module sio course nimekosea
MechanicalHaya tufanye ni module sawa umekosea. Bado maswali yangu yapo pale pale.
1) ulikuwa unasoma course gani?
2) hiyo Module ilikuwa module ipi?
3) Ulifanya application ya module kwa mfumo wa work based learning au kwa modular learning?
Sasa nimeelewa kwanini umeleta uzi wako, tatizo unatumia mfumo wa modular learning na sio full program learning ndio maana.Mechanical
Nilitaka kufanyia kazi module ya workshop technology kipengele material science