Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Huu unajipa faraja tu,mtu ameze kwenye diploma ?

Kwani form 6 mnaelewa nini sasa zaidi ya kukariri?

Unataka kudanganya na kupotosha umma tu.

Dunia ya leo,unasema idadi ya vitu ulivyosoma sio kuelewa au kufanyia kazi?

Maajabu haya.
Diploma anakariri kwakuwa anasoma engineering na teknolojia bila ya kuwa na msingi wa sanyansi. Kigezo chenyewe D4. ndio maana ghorofa tatu anakuja kujenga mchina
 
Haisaidii chochote kikubwa ni kuwa na maarifa mfano ukiishia la saba na ukapata ujuzi wa kukiwezesha KUMUDU MAISHA YAKO NA KUYA TAWALA MAZINGIRA YAKO.

NAONA ELIMU YA FORM SIX INA NADHARIA NYINGI INAKUACHA NA QUESTION TAGS ZISIZO NA MAJAWABU

NDIO MAANA MHITIMU WA FORM SIX HANA UWEZO NA MAARIFA YA KUJITEGEMEA ABADANII

NI BORA MTU APATE MAARIFA NA STUDY ZA MSINGI ZA KUWEZA KUJITEGEMEA
Mwisho wa siku maswali mengi ndio fursa zenyewe. Kwahiyo form six ikinisaidia kujua kufunga solar, na kujipatia umeme wangu, ikinisaidia kusoma kitabu cha madini nakaweza kuyajua, ikinisaidia kufundisha watoto wangu ninakuwa nimesomea kifo na si maisha?
 
Mwisho wa siku maswali mengi ndio fursa zenyewe. Kwahiyo form six ikinisaidia kujua kufunga solar, na kujipatia umeme wangu, ikinisaidia kusoma kitabu cha madini nakaweza kuyajua, ikinisaidia kufundisha watoto wangu ninakuwa nimesomea kifo na si maisha?
Nenda kwamalizie Ordinary Diploma utaelewa jambo kwa sasa huwezi kuelewa.. kwanza hujasema kwanini uliishia Certificate?

Kuna wenzio kabla ya kujanjaruka walikua km wewe..
 
Kwa Uzoefu wangu.

Kwa mtu alie soma Diploma then kaja chuo, Anakua vzuri kwenye hard skills za fani husika ila not Soft skills.

A level inakupanua kichwa bhana, Tuache masiahara.
 
Nilipata div three na sikua na nia ya kuendelea na hiyo elimu kwa kuwa nilijua madhaifu yake. Na hata sasa na weza kukuonesha madhaifu yake. Inshort niliforcewa hata hivyo ni bora ningebaki na misimamo yangu. Kwasababu niliicha huku nikipambania uhai
Sasa ulipata division III,mara haukuwa na nia ya kuendelea na huyo elimu,mara ulilazimishwa.

Halafu wewe huyohuyo unasema imekufanya ujue vitu vingi.

Kiufupi una shida,na unahitaji msaada sema hujui.
 
Diploma anakariri kwakuwa anasoma engineering na teknolojia bila ya kuwa na msingi wa sanyansi. Kigezo chenyewe D4. ndio maana ghorofa tatu anakuja kujenga mchina
Jidanganye na huu uongo.

Dilpoma utakariri nini?

Form sx wanajua nini zaidi ya kukariri?
 
Nenda kwamalizie Ordinary Diploma utaelewa jambo kwa sasa huwezi kuelewa.. kwanza hujasema kwanini uliishia Certificate?

Kuna wenzio kabla ya kujanjaruka walikua km wewe..
Inaweza ikawa kweli ila kwa kile nilicho jaribu kutaka kiapply kupitia course za level 4. Na uhalisia nilioupata ungilinganisha na zile ada alizozilipa mzazi wacha nijiendelezee ki mtaa mtaa
 
Mwisho wa siku maswali mengi ndio fursa zenyewe. Kwahiyo form six ikinisaidia kujua kufunga solar, na kujipatia umeme wangu, ikinisaidia kusoma kitabu cha madini nakaweza kuyajua, ikinisaidia kufundisha watoto wangu ninakuwa nimesomea kifo na si maisha?
Form six ipi imekusaidia kufunga solar halafu mtu wa diploma asijue Hilo?
 
Elimu zetu za majigambo sasa kuwa nimesoma hiki au kile, wewe unajua hiki na yule anajua kile..kwanini udharau cha mwenzio!
Msingi wa elimu ni maarifa na ujuzi sio kushambuliana jukwaani. Haijalishi level ya elimu kuwa na adabu
 
Wanajua si wamemeza. Yaani nikama mtu aliisoma injini ya petrol. Ukakutanae unaweza sema anajua kwakuwa wewe hukusoma. Ila mfumo wa petrol ukipita ikaja EV .Wewe wa advance unaweza, ukawa wa kwanza kuupata kwasababu unatheory za umeme kwenye Physics, mabetry kwenye chemistry. Ila yeye itamchukua muda wenda asije elewa kabisa.
Mkuu hauko serious!

EV ije uanze theories zako za A-level😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅,

Jamaa una shida
 
Sasa ulipata division III,mara haukuwa na nia ya kuendelea na huyo elimu,mara ulilazimishwa.

Halafu wewe huyohuyo unasema imekufanya ujue vitu vingi.

Kiufupi una shida,na unahitaji msaada sema hujui.
Sasa si ndio ukweli unabisha unanijua
. Elimu ya juu ya tz ni utapeli tu ila kwa vile umesema ninashida ngoja nikuache hivyo hivyo.
 
Inaweza ikawa kweli ila kwa kile nilicho jaribu kutaka kiapply kupitia course za level 4. Na uhalisia nilioupata ungilinganisha na zile ada alizozilipa mzazi wacha nijiendelezee ki mtaa mtaa
Wewe ni Me au Ke? Imebidi niulize ili nifanye verification kabisa..
 
Back
Top Bottom