Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Umuhimu wa A level kwangu ni huu

Umesema mambo mengi,tutajie mambo matatu tu katika hayo mambo mengi.

Pia,kwanini umeenda (umerudi) kusoma diploma wakati umesoma A-level?
Nimekuambia nipo nasoma vitabu tajwa hapo juu. Viwili nilisoma vikanisaidia viwili ndio nipo nimeanza, kuvisoma na Kingingine nimeshakitafutia vifaa.

Hafu kuhusu kurudi diploma ni story ndefu staki hata kukumbuka.
 
Nimekuambia nipo nasoma vitabu tajwa hapo juu. Viwili nilisoma vikanisaidia viwili ndio nipo nimeanza, kuvisoma na Kingingine nimeshakitafutia vifaa
Umesema imekusaidia kujua mambo mengi,mara upo unasoma vitabu,tuelewe kipi?

Wewe unaona hivyo vitabu vinasomwa A-level tu?

wengine tumeanza kuvisoma hivyo hata kabla ya sekondari.

Au sema practical electronics for invetors itamsaidia nini mwanafunzi wa A-level?
 
Nimesema Diploma sio Advanced Diploma.. na kuna yule kiongozi katoka hapa na Certificate kaenda UK kapewa Masters hio pia utakataa?
Mtaje anaitwa nani ?

Kama ni Mwana FA yule kasoma IFM advanced diploma na masters kasoma nje
 
Pia,kwanini umeenda (umerudi) kusoma diploma wakati umesoma A-level?
Haya ni maamuzi ya mtu hata wewe unaweza ukaenda pale Chuo fulani wanatoa short course fulani na una Masters PhD ila ukahitaji kusoma short course fulani let say driving kuna mtu atakuuliza kwanini una Masters halafu unataka kusoma driving miezi 6?
 
Mtaje anaitwa nani ?

Kama ni Mwana FA yule kasoma IFM advanced diploma na masters kasoma nje
Advanced Diploma kibongobongo ni NTA Level 7 si unajua au haujui? Niambie tofauti ya NTA level 6 na NTA level 7..
 
Ulizingua uliposema watu wa diploma ni wa d4 ndiyo maana nikakupinga

Hili siwez kulipinga maana me diploma sijasoma ila kwa jinsi nilivyowaona watu wa dilploma tulivyoingia bachelor kuna kitu wamepiga hatua kuliko sis wa advance
Wanajua si wamemeza. Yaani nikama mtu aliisoma injini ya petrol. Ukakutanae unaweza sema anajua kwakuwa wewe hukusoma. Ila mfumo wa petrol ukipita ikaja EV .Wewe wa advance unaweza, ukawa wa kwanza kuupata kwasababu unatheory za umeme kwenye Physics, mabetry kwenye chemistry. Ila yeye itamchukua muda wenda asije elewa kabisa.
 
Kwanza level 4 sio diploma ni cheti.4&5=cheti
5&6=diploma
6&7=degree
8&----
Kwanza diploma anasomea ujuzi kazi anaweza kuajiliwa.six Bado elimu jumla huna ujuzi wowote.
Sijasema nina diploma
 
Haya ni maamuzi ya mtu hata wewe unaweza ukaenda pale Chuo fulani wanatoa short course fulani na una Masters PhD ila ukahitaji kusoma short course fulani let say driving kuna mtu atakuuliza kwanini una Masters halafu unataka kusoma driving miezi 6?
hakuna maamuzi ya kutoka A-level umefaulu vizuri kwenda diploma,rudia tena neno UMEFAULU VIZURI.
 
Umesema imekusaidia kujua mambo mengi,mara upo unasoma vitabu,tuelewe kipi?

Wewe unaona hivyo vitabu vinasomwa A-level tu?

wengine tumeanza kuvisoma hivyo hata kabla ya sekondari.

Au sema practical electronics for invetors itamsaidia nini mwanafunzi wa A-level?
We jamaa ebu kua serious hivi kuna kitabu hata kimoja hapo. kinaweza somwa na mtu wa primary kweli hapo.
 
Wanajua si wamemeza. Yaani nikama mtu aliisoma injini ya petrol. Ukakutanae unaweza sema anajua kwakuwa wewe hukusoma. Ila mfumo wa petrol ukipita ikaja EV .Wewe wa advance unaweza, ukawa wa kwanza kuupata kwasababu unatheory za umeme kwenye Physics, mabetry kwenye chemistry. Ila yeye itamchukua muda wenda asije elewa kabisa.
Huu unajipa faraja tu,mtu ameze kwenye diploma ?

Kwani form 6 mnaelewa nini sasa zaidi ya kukariri?

Unataka kudanganya na kupotosha umma tu.

Dunia ya leo,unasema idadi ya vitu ulivyosoma sio kuelewa au kufanyia kazi?

Maajabu haya.
 
Inanifanya niweze kuelewa vitu vingi sana. Pia nilisoma Odinary diploma nilishia NTA level 4 ila Mpaka leo sijapata kujua inanisaidiaje. Na nyie naomba mtoe ushuhuda kua diploma au A level inakupa faida gani kubwa? View attachment 3516201
Haisaidii chochote kikubwa ni kuwa na maarifa mfano ukiishia la saba na ukapata ujuzi wa kukiwezesha KUMUDU MAISHA YAKO NA KUYA TAWALA MAZINGIRA YAKO.

NAONA ELIMU YA FORM SIX INA NADHARIA NYINGI INAKUACHA NA QUESTION TAGS ZISIZO NA MAJAWABU

NDIO MAANA MHITIMU WA FORM SIX HANA UWEZO NA MAARIFA YA KUJITEGEMEA ABADANII

NI BORA MTU APATE MAARIFA NA STUDY ZA MSINGI ZA KUWEZA KUJITEGEMEA
 
Inanifanya niweze kuelewa vitu vingi sana. Pia nilisoma Odinary diploma nilishia NTA level 4 ila Mpaka leo sijapata kujua inanisaidiaje. Na nyie naomba mtoe ushuhuda kua diploma au A level inakupa faida gani kubwa? View attachment 3516201
Haisaidii chochote kikubwa ni kuwa na maarifa mfano ukiishia la saba na ukapata ujuzi wa kukiwezesha KUMUDU MAISHA YAKO NA KUYA TAWALA MAZINGIRA YAKO.

NAONA ELIMU YA FORM SIX INA NADHARIA NYINGI INAKUACHA NA QUESTION TAGS ZISIZO NA MAJAWABU

NDIO MAANA MHITIMU WA FORM SIX HANA UWEZO NA MAARIFA YA KUJITEGEMEA ABADANII

NI BORA MTU APATE MAARIFA NA STUDY ZA MSINGI ZA KUWEZA KUJITEGEMEA
 
hakuna maamuzi ya kutoka A-level umefaulu vizuri kwenda diploma,rudia tena neno UMEFAULU VIZURI.
Nilipata div three na sikua na nia ya kuendelea na hiyo elimu kwa kuwa nilijua madhaifu yake. Na hata sasa na weza kukuonesha madhaifu yake. Inshort niliforcewa hata hivyo ni bora ningebaki na misimamo yangu. Kwasababu niliicha huku nikipambania uhai
 
Back
Top Bottom