Umri wa dunia ni upi hasa?

Umri wa dunia ni upi hasa?

Red Giant halafu kama mungu kweli yuko hivyo ana transcend logic, wewe binadamu ambaye huna uwezo wa kimungu kumuelewa alivyotranscend logic utajuaje hizo habari za mungu ku transcend logic ni kweli au ni stories tu za mapokeo zinazojaribu kuelezea kile ambacho binadamu hawezi kuelezea?

Ukishakubali habari za mungu anaye transcend logic uneshakubali unamuamini na kumkubali mungu usiyemuelewa, ukikubali hivyo umeshakubali kwamba unaweza kuwa unaamini kitu ambacho hakipo.

Cc housegirl
 
Last edited by a moderator:
naweza nisiwe na sababu mnazozitaka ila in normal circumstances na maajabu na kila kinachofanyika Mungu ninayemuabudu yupo na anaishi hata milelel

Translation.

I don't know jack about this god stuff, but I will just believe and force the issue by fiat without even bothering to investigate.
 
Kama logic na sayansi ni inferior then idea ya mungu isingeshindwa kupita mtihani wa logic.

Kimsingi unachoniambia hapa ni kwamba, mungu si nyundo, mungu ni zaidi ya nyundo ni kama nuclear power au The Large Hadron Collider.

Sawa basi, kuna hili jiwe naweza kulipasua kwa nyundo, imekuwaje hiyo more powerful nuclear power au Large Hadron Collider inayo split atoms ishindwe kuvunja jiwe linalovunjwa kwa nyundo?

Iweje mungu mwenye nguvu zote ashindwe kupota mtihani mdogo tu wa logical consistency?
ninachosema ni kwamba kumuelezea mungu kwa logic au sayansi ni kama kujaribu kutenganisha kwa nyundo kitu kinahitaji LHC. logic imetokana experience ya mwanadamu kwamba ukiwa na upendo tunategemea utatenyeneza mazingira yasiyo na uovu kinyume chake huna upendo. hii imetokana na akili yetu yenye limitation kubwa. na hatuwezi kuona makosa kwa sababu akili hairuhusu. tunahitaji nyenzo tufauti au combination ya nyenzo,(imani ikiwepo) ili kumuelezea mungu.
 
ninachosema ni kwamba kumuelezea mungu kwa logic au sayansi ni kama kujaribu kutenganisha kwa nyundo kitu kinahitaji LHC. logic imetokana experience ya mwanadamu kwamba ukiwa na upendo tunategemea utatenyeneza mazingira yasiyo na uovu kinyume chake huna upendo. hii imetokana na akili yetu yenye limitation kubwa. na hatuwezi kuona makosa kwa sababu akili hairuhusu. tunahitaji nyenzo tufauti au combination ya nyenzo,(imani ikiwepo) ili kumuelezea mungu.

Unachosema ni kwamba unamuamini mungu usiyemuelewa.

LHC haiwezi kushindwa kuvunja jiwe linalovunjwa kwa nyundo.

An omniscient, omnipotent omnibenevolent godhead cannot fail to pass the test of logical consistency.

That's like a kilometre that does not contain a millimetre.

Moreover, if god was really that mystical, you wouldn't have a way of knowing that.

How would you tell fantastic myths from truth?
 
Hujathibitisha kwamba yupo.

Kaka kuna watu wa Jamii ya THAMUD, na wengine wa jamii ya ADD.

Hawa walikua wabishi sana kuamini kama Mungu yupo. Sababu tu wao waliumbwa na miili mikubwa hivyo wakajiona wao ndo kila kitu.

Mungu unaemkana hapa aliwatupia upepo tu, wote wakapukutika. Kwahiyo angalia sana Kiranga wangu, tusije tukakukosa hapa jukwaani siku chache zijazo.

Ila naamini watu wa aina yako Mungu hupenda kuwapa muda mrefu zaidi duniani ili pengine huko mbeleni unaweza ukabadili Mawazo then ukamjua Mungu vizuri!!
 
Last edited by a moderator:
i have seen the magic,if God does not exist whats the source of everything?? no one has answered this question up to date
 
But do not forget this one thing, dear friends: With the Lord a day is like a thousand years, and a thousand years are like a day.
[h=1]2 Peter 3:8[/h]
 
Kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo ili kuthibitishika, kwamba hakipo.

Kilichopo ndicho kinathibitishwa kwamba kipo.

Thibitisha kwamba mungu yupo.

SI Kweli! Kama kitu hakipo Kisayansi unaweza kuthibitisha hilo na kama Kipo pia unaweza kuthibitisha kama kipo! Labda kama hamko kwenye mambo ya Sayansi hapo sawa!

Kwenye Sayansi hakuna mambo kama hayo! Kwenye sayansi una uwezo wa kuthibitisha uwepo wa kitu au kutokuwepo kwake, hivyo kama ninakwambia kwamba kuna Virusi kwenye ini ninaweza kuthibitisha kama kweli wapo kwenye ini labda kwa kutumia Ultrasound nikakuonyesha kwamba kwenye hili Ini kuna Virusi, lkn kama siwezi kuthibitisha uwepo wa hao kwenye ini siwezi kusema wapo na wala pia siwezi kusema hawapo kwa maana Mgonjwa ana maumivu!

Vivyo hivyo kwenye mambo ya uwepo au kutokuwepo kwa Mungu hakuna Mtu (mpaka sasa) anayeweza kuthibistiha kama Mungu yupo na wala pia hakuna anayeweza kuthibitisha kwamba Mungu hayupo (Kisayansi!)

Hivyo kama unaongelea Kisayansi pia na mimi ningependa unipe Uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu!
 
Kaka kuna watu wa Jamii ya THAMUD, na wengine wa jamii ya ADD.

Hawa walikua wabishi sana kuamini kama Mungu yupo. Sababu tu wao waliumbwa na miili mikubwa hivyo wakajiona wao ndo kila kitu.

Mungu unaemkana hapa aliwatupia upepo tu, wote wakapukutika. Kwahiyo angalia sana Kiranga wangu, tusije tukakukosa hapa jukwaani siku chache zijazo.

Ila naamini watu wa aina yako Mungu hupenda kuwapa muda mrefu zaidi duniani ili pengine huko mbeleni unaweza ukabadili Mawazo then ukamjua Mungu vizuri!!

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Mungu nilishampa challenge kama yupo anipige radi, miaka kadhaa iliyopita.

Mpaka sasa nadunda.

Again, unaamini mungu kwa uzembe na woga kama nilivyosema hapo mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
SI Kweli! Kama kitu hakipo Kisayansi unaweza kuthibitisha hilo na kama Kipo pia unaweza kuthibitisha kama kipo! Labda kama hamko kwenye mambo ya Sayansi hapo sawa!

Kwenye Sayansi hakuna mambo kama hayo! Kwenye sayansi una uwezo wa kuthibitisha uwepo wa kitu au kutokuwepo kwake, hivyo kama ninakwambia kwamba kuna Virusi kwenye ini ninaweza kuthibitisha kama kweli wapo kwenye ini labda kwa kutumia Ultrasound nikakuonyesha kwamba kwenye hili Ini kuna Virusi, lkn kama siwezi kuthibitisha uwepo wa hao kwenye ini siwezi kusema wapo na wala pia siwezi kusema hawapo kwa maana Mgonjwa ana maumivu!

Vivyo hivyo kwenye mambo ya uwepo au kutokuwepo kwa Mungu hakuna Mtu (mpaka sasa) anayeweza kuthibistiha kama Mungu yupo na wala pia hakuna anayeweza kuthibitisha kwamba Mungu hayupo (Kisayansi!)

Hivyo kama unaongelea Kisayansi pia na mimi ningependa unipe Uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu!

Thibitisha kwamba chumbani mwako hakuna taa isiyoonekana inayoelea hewani na kuelekea kwa Wagagagigikoko kila saa sita usiku.
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Mungu nilishampa.challenje kama yupo anipige radi, miaka.kadhaa iliyopita.

Mpaka sasa nadunda.

Again, unaamini.mungu.kwa.uzembe na woga kama nilivyosema hapo mwanzo.

so mkuu unadhan ni nini kina control vifo kwamba huyu afe akiwa mdogo na huyu afe akiwa amelala au vingnevyo
 
so mkuu unadhan ni nini kina control vifo kwamba huyu afe akiwa mdogo na huyu afe akiwa amelala au vingnevyo

Hata kama sijui jibu la swali hili, hilo halimaanishi kwamba jibu lake ni mungu.

Mtu akiniuliza 2 + 3 = ?

Naweza kuwa sijui jibu. Lakini naweza kuwa najua jibu ni lazima litakuwa kubwa kuliko 2 na pia kubwa kuliko 3.

Kwa hiyo mtu akiniambia 2 +3 = 1 nitamwambia jibu hilo si sahihi, kwa. sababu 1 ni ndogo kuliko 2.

Kwa hiyo sihitaji kujua kifo kinatokeaje ili kujua kwamba mungu ni hogwash.
 
Hata kama.sijui jibu la swali hili, hilo halimaanishi kwamba jibu lake ni mungu.

Mtu akiniuliza 2 + 3 = ?

Naweza kuwa sijui jibu. Lakini naweza kuwa najua jibu ni lazima litakuwa kubwa kuliko 2 na pia kubwa kuliko 3.

Kwa hiyo mtu akiniambia 2 +3 = 1 nitamwambia jibu hilo si sahihi, kwa. sababu 1 ni ndogo kuliko 2.

Kwa hiyo sihitaji kujua kifo kinatokeaje ili kujua kwamba mungu ni hogwash.

ok whatever it is ila unakubali kuna natural power ambayo inaongoza dunia
 
Habari zenu wakuu!! Kwa muda sasa nimekuwa nikifutilia kuhusu mwanzo wa ulimwengu kwa maana ya sayari, mwezi/miezi, Nyota, jua pia Big bang na kinachoitwa Black Hole!!
Katika kufatilia huku nimekuja kupata mkanganyiko kwa namna biblia inavyoelezea vizazi toka kuumbwa Dunia na vilivyomo pamoja na Adam ambapo hata miaka 10,000 haifiki!! Upande wa pili ukiwafatilia wanasayansi ni kwamba kilichoanza ni Big bang(miaka 13.7bilion iliyopita), zikafuatia nyota na baadaye sayari yetu dunia(miaka 4.6 bilion iliyopita). Je kwanini kuna tofauti kubwa sana kati ya kinachoitwa kitabu kitakatifu na sayansi ya ulimwengu, ni waandika biblia walidanganya au wanasayansi wanadanganya? Vipi kuhusu mabaki ya Dinosaurs yaliyogunduliwa na utafiti kuonesha hawa viumbe waliishi zaidi ya miaka 200 million iliyopita?

Imekuwa vizuri kuuliza na sio kuwa na imani uliorithishwa..

Tofauti lazima ziwepo kati ya kisayansi na kidini, imani ni kuamini kitu hata kama hukioni au hakina kithibiti..
Kisayansi ni kudhihirisha na kupata ukweli wa jambo, imani haihusiki kabisa hapo..
Kuna link hapa chini ya kidini inayochambua haya..
How Old is the Earth According to the Bible and Science?
Ila kama kawaida yetu binadamu huwa tunafikiri na kuchambua mambo wakati tuko hai na wanasayansi na hao pia wanasema...
How Old is the Earth: Scientific Age of the Earth
Age of the Earth - Wikipedia, the free encyclopedia
How Old Is The Earth?
 
Teh teh tehe!!
Ulishampa challenge akupige radi ameshindwa eti, hahaaahahaaa!!

Umenikumbusha kuna kitabu cha Padre Gregory Mwageni, yeye anasema amethibitisha kuwa hakuna uchawi, alishawapa challengi wachawi wote wa Tanzania na Zambia(sehemu alizowahi ishi) wamjie usiku kwake hawajawahi, hadi leo anadunda tu.
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Mungu nilishampa challenge kama yupo anipige radi, miaka kadhaa iliyopita.

Mpaka sasa nadunda.

Again, unaamini.mungu.kwa.uzembe na woga kama nilivyosema hapo mwanzo.
 
ok whatever it is ila unakubali kuna natural power ambayo inaongoza dunia

The second law of thermodynamics says all closed systems tend from order to disorder.

Anybody who did proper O level physics should be aware of Brownian motion.

I don't have a problem with natural powers. Gravity, electromagnetism, the strong and weak nuclear forces are securely established.

It is this gibberish of supernatural powers that I have a problem with.
 
Back
Top Bottom