Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,902
- 145,981
Bible ina walakini mkubwa...sehemu kubwa ya biblia ina stori za kujaribu kuimarisha imani tu za waamini..ila maneno ya mungu mwenyewe kwenye bible ni machache mno...sanasana zile amri 10, ile sauti wakati yesu anabatizwa..labda na mazungumzo ya mungu na adam na kidogo sana na musa.
Unaweza kuthibitisha kwamba biblia ina maneno ya mungu machache na kwamba huyu mungu yupo na si stories tu?