Umri wa dunia ni upi hasa?

Umri wa dunia ni upi hasa?

Ndio maana yake, na huu ulimwengu hauishii kwenye hii dunia yetu na jua lake, ukitoka kwenye hii solar system yetu a trilion miles, kuna majua (suns) nyingine zina solar system zake, na kuna planet kuna viumbe hai, viumbe hivyo ktk hizo planet wengine wametuzidi maarifa, na planet nyingine tumewazidi maarifa, ndio kwanza wanaulizana jua limesimama au linazunguka,na hata rangi zao ni tofauti, wapo viumbe wa blue, yellow nk, na majua yanatofautiana kwa ukali na nguvu za mionzi, my point miungu ipo kibao

Is this science or science fiction?

Umeandika kwamba ukitoka kwenye hii solar system a trillion miles kuna majua mengine.

Hii si kweli.

Jua ni nyota. Nyota iliyo karibu zaidi na solar system ni star system ya Alpha Centauri, ambayo ipo 25.6 trillion miles away. Light traveling at about 300,000 kilometres per second (299,792 458 metres/second to be exact) takes 4.3 years to travel from this system to earth.

Kwa hiyo habari yako ya kwamba kuna majua mengine a trillion miles from our solar system si sahihi. Nyota ya karibu kabisa ipo 25.6 trillion miles away, that equals 300,000 the distance from the earth to the sun.
 
Habari nzima ya kuwapo kwa mungu muweza yote na mwenye upendo mkuu imezaliwa kutoka kwa baba aitwaye uzembe na mama aitwaye woga.

Uzembe unataka majibu mepesi kwa maswali magumu. Hivyo kila swali likiwa gumu na halieleweki, kwa mfano, dunia imeanzaje? Uhai umeanzaje? Baada ya kifo kuna nini? Wazembe wameopenda kujibu kwa habari za mungu, bila uchunguzi. Kwa imani tu.

Woga umesiliba habari ya mungu kwa kutisha watu kwamba ukihoji uwepo wa mungu unafanya kufuru na utachomwa moto milele na milele.

Binadamu wa leo kwenda na imani king'ombe ng'ombe tu bila kuuliza maswali ya wazi kabisa inasikitisha sana.

we huu uchunguzi umefanya wapi ? au ndio kukopi vya watu ?
 
we huu uchunguzi umefanya wapi ? au ndio kukopi vya watu ?

Unajua kusoma?

Your godhead does not pass the simple test of logical consistency, do you understand what does that mean?
 
Hilo siyo swali langu.

Swali uliloulizwa hujajibu, ulilojibu hujaulizwa.

Nimekuuliza, hayana majibu au majibu yake huyajui?

Dah hata mwalimu aliyekufundisha alipata tabu, kumaliza kwako nadhani alipga magoti akashukuru sana.
 
Is this science or science fiction?

Umeandika kwamba ukitoka kwenye hii solar system a trillion miles kuna majua mengine.

Hii si kweli.

Jua ni nyota. Nyota iliyo karibu zaidi na solar system ni star system ya Alpha Centauri, ambayo ipo 25.6 trillion miles away. Light traveling at about 300,000 kilometres per second (299,792 458 metres/second to be exact) takes 4.3 years to travel from this system to earth.

Kwa hiyo habari yako ya kwamba kuna majua mengine a trillion miles from our solar system si sahihi. Nyota ya karibu kabisa ipo 25.6 trillion miles away, that equals 300,000 the distance from the earth to the sun.

Kwa maelezo yako hapo ndipo uwezo wa kufikili ulipoishia una count miles ukiona nyingi unafikili ndio mwisho
 
Dah hata mwalimu aliyekufundisha alipata tabu, kumaliza kwako nadhani alipga magoti akashukuru sana.

Una assume assume tu hivyo kama unavyo assume kuwapo kwa mungu.

Ukiambiwa uthibitishe ngoma.
 
Kwa maelezo yako hapo ndipo uwezo wa kufikili ulipoishia una count miles ukiona nyingi unafikili ndio mwisho

Hapana, wewe umetuambia maili trilioni moja kuna majua mengine.

Wakati jua la karibu kabisa lipo maili trilioni 25.6.

Umekosea.Kubali tu.

Sijaongelea mwisho, nimeandika kuhusu mwanzo.

Kati ya anayeongelea mwanzo na anayeonanmwanzo huo kuwa.mwisho nani uwezo wa kufikiri umeisha?
 
Hujajibubswali.

Kabla ya mungu kuumba viumbe.

Pale alipokuwa anaumba ulimwengu.

Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki?

Alukuwa hawezi au hakutaka tu?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote aruhusu uovu uwezekane katika ulimwengu wake?
mungu hakutaka kuumba ulimwengu ambao viumbe hawatapata consequences kutokana na matendo yao haukuwa mpango wake. hakutaka iwe hivyo. aliumba ulimwengu wa kuishi viumbe huru ambao watamwabudu sio kama maroboti bali kwa kuchagua kwao.
 
mungu hakutaka kuumba ulimwengu ambao viumbe hawatapata consequences kutokana na matendo yao haukuwa mpango wake. hakutaka iwe hivyo. aliumba ulimwengu wa kuishi viumbe huru ambao watamwabudu sio kama maroboti bali kwa kuchagua kwao.

Kwa nini mungu hakuumba ulimwengu ambao uko beyond the idea of consequences, hence, the question of consequence to be totally sidestepped?

What is this godhead? A snitching class monitor keeping tabs? For whom? Isn't he suposed to know all our lives before we are even born? How could there be meaningful consequences in a setup where god knows what you will do, and you cannot escape that fate? Isn't that predestination?

Kwa nini mungu mwnye uwezo wote na upendo wote awe interested na viumbe vyake kuwa na consequences?

Kama mungu ndiye muumba na mwenye uwezo wote, huoni hata hiyo akili kubwa itakayomfanya mtu afanye mazuri, au ndogo itakayomfanya mtu kufanya mabaya ultimately itakuwa imetoka kwa mungu?

Sasa mungu atawezaje kusema watu wana consequence ya matendo yao wakati yeye ndiye anawapa akili?

Kwenye Quran imeandikwa kabisa kwamba mungu kawafanya watu wengine mioyo yao iwe mizito kuamini, na kawaziba masikio yao wasisikie.

Wakristo wanasema kuokoka ni.kwa neema ya mungu tu. Yaani mungu mwenyewe akiamua umjue utamjua hata ujifanye kichwa ngumu vipi, na akitaka usimjue hata ujishughulishe vipi kumjua utatoka kapa. Sasa habari ya consequences inakuja vipi hapa wakati tunamjua mungu kwa neema yake tu?

Mimi nikifa na kwenda kukutana na mungu siku ya kiyama, akaniyliza "Kiranga mbona ulikuwa unanikana sana kuwapo kwangu", nikamjibu, "ninkwa sababu nimekitafuta sana lakini.hukunipa akili.za kukujua. Nimesoma Rig Veda, Bhagavad Gita, Egyptian Book of The Dead, Tibetan Book of The Dead, Dhammapada, Confucian, Socrates, The New York Times, The Wall Street Journal, The Smart Set, The Skeptic etc, kote huko sijakuona. Ni mimi.ndiye wa kukuuliza wewe mungu, kwa nini hujanipa.neema ya kukujua?". Atanijibuje?

That is hardly going to take place though. Because he does not exist.

Sasa watu kama hawa mungu.huyu huyu anaweza kuwahukumu kwa sababu ya matendo yao mabaya?

Wakati yeye mwenyewe ndiye aliyewaziba masikio wasimjue na kuifanya mioyo yao migumu isimkubali?

Unaona suala la.consequences linavyokosa nguvu hapo?
 
Hapana, wewe umetuambia maili trilioni moja kuna majua mengine.

Nimeandika trilion miles, hivi hii ni maili trilion moja, by the way siku weka actual figure sababu research bado inaendelea kujua ni miles ngapi mpaka jua jingine
 
naweza nisiwe na sababu mnazozitaka ila in normal circumstances na maajabu na kila kinachofanyika Mungu ninayemuabudu yupo na anaishi hata milelel
 
Una assume assume tu hivyo kama unavyo assume kuwapo kwa mungu.

Ukiambiwa uthibitishe ngoma.
Unaye base kwenye assumption ni wewe uliye shindwa kusaidia madai yako tegemezi. Wewe ndie unasema huwezi na huna uwezo wa kujibu kwasababu jibu lako ni tegemezi kwa theist.

Sasa nani mgonjwa hapa kama sie wewe mwenye IMANI TEGEMEZI?
 
Nimeandika trilion miles, hivi hii ni maili trilion moja, by the way siku weka actual figure sababu research bado inaendelea kujua ni miles ngapi mpaka jua jingine

A trillion miles from the earth hakuna jua, jua linalofuata lipo 25.6 trillion miles.

Kuna tofauti kati ya "trillion miles" na "trillions of miles". Labda ujifunze kiingereza.

Zaidi ya hapo, habari za kwamba kuna viumbe wengine wa kijani na rangi tofauti wanaishi huko ni science fiction zaidi kuliko science.

Kama.una.report ya kugunduliwa kwa extra terrestrials unaowataja kutoka a reputable publication tuwekee hapa.

Otherwise you must be watching too much Star Trek like movies and confusing that with actual science.
 
A trillion miles from the earth hakuna jua, jua linalofuata lipo 25.6 trillion miles.

Kuna tofauti kati ya "trillion miles" na "trillions of miles". Labda ujifunze kiingereza.

Zaidi ya hapo, habari za kwamba kuna viumbe wengine wa kijani na rangi tofauti wanaishi huko ni science fiction zaidi kuliko science.

Kama.una.report ya kugunduliwa kwa extra terrestrials unaowataja kutoka a reputable publication tuwekee hapa.

Otherwise you must be watching too much Star Trek like movies and confusing that with actual science.

Nitarudi na evidens gnt
 


Na wewe thibitisha kwamba Mungu Hayupo!


Kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo.

Kwa sababu hakipo ili kuthibitishika, kwamba hakipo.

Kilichopo ndicho kinathibitishwa kwamba kipo.

Thibitisha kwamba mungu yupo.
 
Kiranga. haumpati mungu ni kwa sababu unatumia wrong tools. unatumia logic na sayansi kumpata mungu. hizo ni inferior tools ambazo zinaweza kumpima mungu kwa sehemu tu. ni kama kuchunguza virusi kwa light microscope mara zote utasema havipo, unahitaji electron microscope. electron microscope unayohitaji ni imani. watu wote tunaosema mungu yupo ni kwa sababu ya imani, tumegundua logic na science vina limit na haviwezi kuexplain kila kitu.

hapo juu umetoa point ambazo zinalogic lakini muumbaji wa vitu vyote huwezi kumuelezea kama unavyoelezea vitu alivyoumba utajaribu tu. dizaini ana emergent properties. kuprove uwepo wa mungu nakuignore swala la imani hakutakuja kumaliza huu ubishi humu ndani.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga. haumpati mungu ni kwa sababu unatumia wrong tools. unatumia logic na sayansi kumpata mungu. hizo ni inferior tools ambazo zinaweza kumpima mungu kwa sehemu tu. ni kama kuchunguza virusi kwa light microscope mara zote utasema havipo, unahitaji electron microscope. electron microscope unayohitaji ni imani. watu wote tunaosema mungu yupo ni kwa sababu ya imani, tumegundua logic na science vina limit na haviwezi kuexplain kila kitu.

hapo juu umetoa point ambazo zinalogic lakini muumbaji wa vitu vyote huwezi kumuelezea kama unavyoelezea vitu alivyoumba utajaribu tu. dizaini ana emergent properties. kuprove uwepo wa mungu nakuignore swala la imani hakutakuja kumaliza huu ubishi humu ndani.

Kama logic na sayansi ni inferior then idea ya mungu isingeshindwa kupita mtihani wa logic.

Kimsingi unachoniambia hapa ni kwamba, mungu si nyundo, mungu ni zaidi ya nyundo ni kama nuclear power au The Large Hadron Collider.

Sawa basi, kuna hili jiwe naweza kulipasua kwa nyundo, imekuwaje hiyo more powerful nuclear power au Large Hadron Collider inayo split atoms ishindwe kuvunja jiwe linalovunjwa kwa nyundo?

Iweje mungu mwenye nguvu zote ashindwe kupota mtihani mdogo tu wa logical consistency?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom