Hii habari tumeshaijadili. Sijui kwa nini umeileta tena. Baada ya hii universe ipo nyingine,baada ya hiyo universe ndiyo ipo ile universe ya watu walioleta space craft kuigundua dunia yetu. Wakafika wakashuhudia sayari takriban 15 zilizototolewa kwenye jua. Wakaondoka,wakarudi baadaye,dunia imeshaanza kuwa ngumu;volcanoes,earthquakes,hurricanes,everything bad. Haikuwezekana kutua .Wakazunguka kutazama halafu wakaondoka. Wanarudi tena baadaye wanatua:watafiti,wanasayansi wanachukua samples za udongo,wanachunguza atmosphere,wanaangusha kwenye dunia chemicals zinazohitajika kuharakisha mabadiliko wanayoyataka. Halafu wanarudi baadaye kuwaleta dinassours. Lazima waanze na dinassours,lazima waanze na bulky animals na bulky trees,kwa sababu the world is young and only crude things can survive on it. Hiyo mimea inabreathe out oxygen,baadaye binadamu wanaweza kuletwa . Halafu wanarudi baadaye,in space ships,wanawaleta primitive human beings,not apes,human beings,and civilization begins. Every few thousand years the atom bomb is discovered,people fight and the world returns to the stone age and civilization begins all over again.