Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Anadai yanampaga jotohahaah madam huyu c ndo huwa anadai akipata hela anaenda kula bata na majimama
Anadai yanampaga jotohahaah madam huyu c ndo huwa anadai akipata hela anaenda kula bata na majimama
hahaah mi huwa ananifurahishaga sana na mikwara yakeAnadai yanampaga joto
Yesu yumkuu.monopoly inc, Wangari Maathai, October man na Complex Analysis nawasalimia sana mi naendelea vzr tu. Wallet bado ipo vzr na mishe znaendelea safi tu
Na ndo yule aliyekufa akafufukahahaah madam huyu c ndo huwa anadai akipata hela anaenda kula bata na majimama
huyu dogo ana brain demage sio bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara aseme anahtaji jimama,mara aseme anapiga pesa kwny biashara ya dagaa mara aseme amekufa na kufufuka[emoji23][emoji23][emoji23]dadeqNa ndo yule aliyekufa akafufuka
Baba Sina brain damage wala nini ni mzm wa afya sana sema mi Nina masihara mengi sana, ila baadhi ya sitori n za kweli mfano hyo ya kufa kisha nikafufuka ni kwelihuyu dogo ana brain demage sio bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara aseme anahtaji jimama,mara aseme anapiga pesa kwny biashara ya dagaa mara aseme amekufa na kufufuka[emoji23][emoji23][emoji23]dadeq
Sawa mzee baba chuo nado wiki 8 tu nimalize semester ya 6. Kuhusu kujiajiri hilo Sina hofu nalo but nimepoteza miaka 17 nikiwa nasoma afu nikajiajiri hyo haiwezekan lazima niajiriwe kwanzaPambana umalize chuo, huenda elimu yako itakusaidia katika mchakato wa kujiajiri
Ila wadogo zetu mie naona kama mnapaniki sana..yaan uko chuo unataka uwe na pesa? Kila mtu na njia yake kufanikiwa..hebu relax...!
Kila Mtu hapa JamiiForums akisema akusimulie ( akuambie ) yanayomsibu kuna uwezekano Wewe Mkuu ukajiona una afadhali au huna Shida. Kikubwa tu ni Kwanza Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Zawadi yake Muhimu na ya Thamani kabisa ya Pumzi hii ya Uhai na hayo mengine yanatafutwa na uzuri ni kwamba Kiimani huwa tunasema Mungu huwa hawai wala hachelewi na wakati wako ukifika tu atakupa Kibali na Maisha yako yatabadilika na hutoamini kama ni Wewe ndiyo ulikuwa ukikata Tamaa, Ukilia na Kujiona Masikini. Pole na najua hali unayoipitia sasa ila nakuomba usikate Tamaa ila ' One Day Yes ' tu Kwako Mkuu.
Jirani....Mkuu kumbe kuna siku huwa zinatulia eeenhe [emoji3] #Ndukiiiii[emoji2090][emoji2090]
Kama unawaza paipu lazima utapigwa tu mkuu isijali. Tafuta wapiga paipu wapo watakupiga tu[emoji23][emoji23]Halafu kwa hizi Tamaa zao huku kibaya zaidi ni Mtoto wa Kiumeni hivi akipigwa Paipu atalalamika au atamlalamikia Mpiga Paipu wake huyo kweli?