Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,720
Sawa imepoteza miaka 17 ila una upeo mkubwa wa kuchambua mambo sio sawa na yule hajaenda shule. Kuna jamaa alimaliza chuo (business administration) akaweka ganda lake sandukuni akajikita kulima vitunguu saumu na kamataji kadogo, sasa anapeta na hataki ajira.