Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

Ni kweli man make duh! Mpaka nachanganyikiwa kabsa
jiajiri kijana usikae kutegemea ajira ndio itakukomboa na siku zinaenda hivyo.usione mtu kavaa vizuri kachomekea asubuhi anaelekea kazini na kurudi jioni na ukategemea analipwa vizuri, hapana mkuu ukutee mshahara anayolipwa ni wa kawaida sanaa na usishangae 300,000. komaa kijana weka mipango ya kujiajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF.
Hujatembea na bahasha za kaki tayari umechoka? Kuna senior job seekers mwaka wa saba huu wapo mtaani na maisha yanaenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF.
Kwa sasa jikite tu kwenye kumaliza Shule ukiendelea kukaa kwenu.


Kwa huu muda jaribu kutoka changamana na jamaa zako, huwezi, koswa Mchongo.
 
Habari wanajamvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF.
Du wewe bado ni kinda sana. Tena sana. Safari ya maisha ndiyo imeanza. Endelea kupigana muda bado unao.
 
Bob round hii hali tight kwa wote hadi mzee wa kukaza vyuma naye kabanwa anatafuta pakutokea

Hivi hushtuki kuona nyuzi nyingi zikianzishwa kuzungumzia kua huu ni mwisho wa dunia, mpaka hapo bado unahisi hali hii unaipata wewe tu?

Kama wewe Mwenye kipele tu unajikuna, vipi kwa mwenye majipu hali ikoje?

Hiki kipindi ulimwengu mzima unapitia msoto sio wewe tu, japo athari ya corona kwa afrika haipo katika kiafya ila kiuchumi imechangia sana kutuathiri

Skilizia kwanza upepo unaendaje just imagine hatujaenda lockdown lakini hali ya kiuchumi kwa mmoja mmoja bado sio nzuri.

Vipi kama tukiwekwa lockdown hali itakuwaje? Bila shaka itakua ni extra zaidi kuliko ya hapa
 
Ninyi ndio wale wanaojinyongaga waleee...

Mi nimemaliza chuo 2017 niko mtaani sijaajiriwa natembeza maisha kibishi na harakati za kitaaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzeebaba umweza kama mim
niloona tu kichwa cha habari nkawa nimwaza kumjibu kuwa huyu ni mwepesi mno kujaribiwa na hatimaye kukata tamaa ikiwemo kujinyonga
mbaya zaidi miaka 26 bado upo chuo, huon ulichelewa mwenyewe??
kuna watu wamepambana, mitaj imeungua sori za viatu zimekata bado hawasemi haya(ila hatuhamasishi failure)


When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Ila wadogo zetu mie naona kama mnapaniki sana..yaan uko chuo unataka uwe na pesa? Kila mtu na njia yake kufanikiwa..hebu relax...!
Ofcz ni vizur kuwa na plan.Lakin kuna wakat lazima tu ukubali maisha ni hatua..
They should just be confident and thankful for achievement over time.like umemaliza chuo, be happy for that organize urslf for the next step ahead.
Kuwaza ku achieve namba 5 wkati hata namba 2 hujafika (japo inawezekana sometimes) ni kujipa stress unneccessarily.
 
Ndugu zangu ndiyo maana nmekuja mnisaidie mawazo make nikianza kusimulia kilichonifanya nilete huu uzi tutakesha n story ndefu sana
Sure mkuu unakuta mtu una miaka 25-28 na unaona kabisa ramani hazieleweki. Huna kitega uchumi, huna ajira ya kueleweka, huna aseti yeyote,account inasoma zero.
Kwa kifupi kesho yako ina mashaka. Mbaya zaidi huo umri ndio unaanza kuwaza kuwa na familia.
 
Back
Top Bottom