Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

Umomi

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2020
Posts
677
Reaction score
994
Habari wanajamvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF.
 
Umeomba msaada kwa kundi fulani tu, humu kuna wazee wana ushauri Mzuri lakini hawatakupatia kwa sababu kauli imeelekea upande mmoja tu, kwa vijana pekee. Rekebisha kauli ya Ombi lako utanue Wigo wa msaada.
 
Habari wana janvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi july ningemaliza. Mbay zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of art with education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF
Njoo tutred foreksi
 
Duh! Mie kweli huwa nataman angalau niwe ata na geto la hali ya chini kabla sinamalza chuo lkn nashindwa kabsa make hata huko chuoni nakaa hostel
wengine tumejiegesha tu seem ili kukwepa kukaa home....ukizingatia na hii corona amna ata mishe ya kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninyi ndio wale wanaojinyongaga waleee...

Mi nimemaliza chuo 2017 niko mtaani sijaajiriwa natembeza maisha kibishi na harakati za kitaaa...
Habari wana janvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi july ningemaliza. Mbay zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of art with education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa umri huo 26 naona umechelewa. ukimaliza chuo mwaka wa tatu una miaka (26 - 27) bado hapo ajira ukupiga mahesabu ya kupata ajira kwa hali hii ni kukadilia miaka mitatu au minne utakuwa una miaka 30...my friend pambana sanaa kama ni kupata connection ili uajiriwe au ujiajiri..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli man make duh! Mpaka nachanganyikiwa kabsa
 
Back
Top Bottom