Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

Umri Unasonga sina pesa. Nifanye nini?

Mkuu ni kuwa na subira navkujituma tu.
Sema mkui ulichelewa mno kuanza shule, 26 bado uko chuo mzee...!
 
Mkuu nakushauri jifunze ujuzi wowote kwa sasa,elimu bila ujuzi imekwisha kufa,nawaona vijana wasomi huku mitaani wanavyoonja machungu,anakuambia nimesoma ila kazi hakuna ukimuuliza unajuzi hana ni form six tu,jifunze chochote,iwe kuchoma chapati au maandazi we jifunze tu,ukijua utanyaka hela,uzinyaga utagundua mambo wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wanajamvi

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.

But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?

Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.

Naombeni ushauri wenu wana JF.

Kila Mtu hapa JamiiForums akisema akusimulie ( akuambie ) yanayomsibu kuna uwezekano Wewe Mkuu ukajiona una afadhali au huna Shida. Kikubwa tu ni Kwanza Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa Zawadi yake Muhimu na ya Thamani kabisa ya Pumzi hii ya Uhai na hayo mengine yanatafutwa na uzuri ni kwamba Kiimani huwa tunasema Mungu huwa hawai wala hachelewi na wakati wako ukifika tu atakupa Kibali na Maisha yako yatabadilika na hutoamini kama ni Wewe ndiyo ulikuwa ukikata Tamaa, Ukilia na Kujiona Masikini. Pole na najua hali unayoipitia sasa ila nakuomba usikate Tamaa ila ' One Day Yes ' tu Kwako Mkuu.
 
Back
Top Bottom