Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,318
- 7,657
Kupata ushubwada kama huu tuma "pumba" kwenda 15569Tuwasiliane dear nitakupa pesa utaenjoy. Maisha kusaidiana
Kupata ushubwada kama huu tuma "pumba" kwenda 15569Tuwasiliane dear nitakupa pesa utaenjoy. Maisha kusaidiana
Sure mkuu..Ni kawaida kwa mwanaume kuwa frustrated na issues kama hizo.Na namuelewa jamaa.Sure mkuu unakuta mtu una miaka 25-28 na unaona kabisa ramani hazieleweki. Huna kitega uchumi, huna ajira ya kueleweka, huna aseti yeyote.
Kwa kifupi kesho yako ina mashaka. Mbaya zaidi huo umri ndio unaanza kuwaza kuwa na familia.
Mpeleke kelege akusaidie kupika.haaaTuwasiliane dear nitakupa pesa utaenjoy. Maisha kusaidiana
Mzeebaba umweza kama mim
niloona tu kichwa cha habari nkawa nimwaza kumjibu kuwa huyu ni mwepesi mno kujaribiwa na hatimaye kukata tamaa ikiwemo kujinyonga
mbaya zaidi miaka 26 bado upo chuo, huon ulichelewa mwenyewe??
kuna watu wamepambana, mitaj imeungua sori za viatu zimekata bado hawasemi haya(ila hatuhamasishi failure)
When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
Habari wanajamvi
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.
But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?
Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.
Naombeni ushauri wenu wana JF.
Nadhan hujanielewaTulia , achana na umri..
Tafuta pesa .. siku uliwa nayo utaishi maisha yote uliyoyapita.
Ila ukilimbilia maisha kwa kigezo cha umri utajuta.
Ukiwa hata na 40 ila unapesa .. unaweza oa hata mrembo wa 18 yrs.. ila ukiwa huna pesa nakwambia hata kuku mitaani watakukimbia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila sio paniki madam miaka 26 sio kidogo. 30 haiko mbali. Mtusaidie mawazo.
Trust the process! Hofu usi ipe nguvu sana chamsingi fanya vitu sahii tu kwa wakati huu! Ni sawa umepanda mbegu usitalajie kuvuna kesho tu, jipe muda na endelea kupambana na kumuomba mungu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinsia yako ipi mkuuHabari wanajamvi
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 sina pesa sina mali yeyote nakaa nyumbani. Nikijaribu kupambana naangukia pua mpaka kuna wakati huwa nakata tamaa. Jamani nisiongee sana naombeni ushauri wenu nifanyeje ili nipate hata mahala pa kulala yani Ghetto.
But mimi ni Mwanachuo mwaka wa 3 sina mkopo wala nini na nakaribia kumaliza isingekuwa Corona mwezi July ningemaliza. Mbaya zaidi hakuna ajira make nachukua Bachelor of Arts with Education. Nifanye nini?
Nilipanga nipambane kipindi hichi cha Corona lakini bahati mbaya sana sina mtaji.
Naombeni ushauri wenu wana JF.
Mkuu in fact darasani nipo vzr sana make mpaka sasa nimebakiza semester moja tu na matokeo yangu sina Supp wala C. Hivyo kitaaluma najikubali sana ila shida ipo kwenye biashara niliwahi kuanzisha biashara nikaangukia pua. Juzi kati tena nimeanzisha nimeangukia pua ila nikajua labda n kwajiri ya Corona but bado napambana26yrs unaanza kulia lia, watu wana 50yrs bado wanakomaa na hawajatoboa...kaza kijana acha kulia lia safari yako bado ndefu.
Kwenye hiyo 26yrs kama uko chuo jitahidi ufanye vizuri kwenye masomo yako na uache ujinga wote huku ukijifunza kufanya vibiashara vya hapa na pale na kujitunzia hela.. you future is on your hands, work hard and smart kijana..
Sawa nimekuelewa sana mkuuHakuna ubaya ukioa au ukiolewa ukiwa na miaka 30,
Mbona fresh tu ukiwa na familia ukiwa miaka 35.
Hakuja haribika kitu ukijenga nyumba yako ukiwa na miaka 40.
Usikimbizane na maisha ya wengine ukilinganisha na maisha yako. just relax and enjoy the moment.
Jifunze kukubali maisha yako na kuishi maisha yako halisi kwa kuyafurahia huku ukiendelea kupambana na kufocus na maisha yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh....!Uza figo