Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 994
- Thread starter
- #121
Kwan nimesema kuwa napitia magumu?Kwa mwendo huu...watu kama ninyi ni wepesi sana kujinyonga.
Nikwambie tu ukweli kwamba hiyo ni trailer, picha linakuja.
Tafsiri ya elimu siyo kujifunza kuhusu ukweli, bali ni kuifundisha akili kufikiri nje ya box. Wahitimu wengi wanaishia kuishi kimasikini kwasababu hawawezi au hawataki kufikiri nje ya box. Ila usikate tamaa mkuu. Wengine tumepitia magumu zaidi ya hayo.
Afu ninyi mnaosema kuwa wasomi hatuwazi nje ya box, mbona ambao hamjasoma mna maisha Yale Yale?