Umoja ni nguvu: Wapinzani nchi hii bila kuungana wasahau kushika Dola

Tunakujua una nongwa na cdm. Kipindi cha dhalimu ulitulia dhidi ya Cdm, kwakuwa ndio chama haswa yule mtu muovu alikuwa anadeal nacho. Kwa maneno marahisi ulifura wao kufanyiwa, hapo hata ww hakukupa furaha. Udini utakulostisha dogo.

Udini vip sasa,kwamba nawachukia chadema kwa kuwa ni wakristo af ccm ni waislam au??

Unajua nyinyi watoto. Wa bavicha akili zenu wote ni kama za mdude tuh,that's why mnatupwa jela mnaishia kushikwa shikwa masaburi na wakulungwa kule
 
..sheria ya vyama vya siasa imeweka masharti magumu sana kwa vyama vya siasa kuungana.

..nadhani unakumbuka jitihada zilizofanyika kuzuia ACT na CDM wasiungane, na wasifanye kampeni za pamoja, ktk uchaguzi wa 2020.

..pia naamini unafahamu kwamba Ukawa ilikuwa muungano wa vyama ambao ulikuwa hautambuliwi kisheria.

..zaidi umoja wa vyama vya siasa lengo lake kuu halitakiwi liwe kuiondoa CCM madarakani.

..Lengo la umoja linatakiwa liwe kuunganisha nguvu ktk kutetea maslahi ya wananchi ikiwemo haki zao za kiuchumi, kisiasa, na kijamii.

..Kwa sasa hivi inapendeza kuona vyama kadhaa vya siasa vinazungumzia KATIBA MPYA.

..Katika hili vyama vya siasa vinaweza kuratibu kampeni za pamoja kuwaelimisha wananchi kuhusu mapungufu ya katiba ya sasa hivi, na ubora wa katiba wanayopendekeza.

..Mwisho, sitashangaa kumuona Msajili wa vyama siasa akijitokeza kukemea na kukatisha tamaa juhudi zozote za vyama vya upinzani kufanya kazi pamoja. Na kukumbushia tu, Msajili wa vyama vya siasa, anateuliwa, na anawajibika kwa Raisi ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM.

Mkuu Joka Kuu,

Nimekusoma.
 
Wapinzani unawaona wewe wako serious ni kina nani?

Mbatia mwaka jana anaenda Mbeya kuvuna wanchama wa CHADEMA, anapewa mpaka msafara wa polisi; ndio hao wa kuungana nao?

Zitto na chama chake pamoja na madhambi yote yaliyofanyika Zanzibar, leo wako serikali moja na Mwinyi; ndio hao wa kuungana nao?

Chadema ingekuwa na position kama ya ACT wazalendo zanzibar,ingeunda serikali ya mseto au ingegoma??
 
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Uujngane na Lipumba?
 
Chadema ingekuwa na position kama ya ACT wazalendo zanzibar,ingeunda serikali ya mseto au ingegoma??
Kwa kuangalia issue ya wabunge wa viti maalum unapata jibu wangefanyaje.

Hapa bara walipata hizo nafasi na wamegomea kwa sababu wanasema uchaguzi haukuwa fair, mpaka zikafanyika mbinu za kihuni watu kuapishwa bila kueleweka.

Nitajie vyama serious vya upinzani ambavyo unataka viungane?
 
Sasa mkuu, utawezaje kuiondoa CCM bila kuunganisha nguvu zenu?

Huo ndo ukweli, ndiyo maana wenzenu kama kina Mashinji, Wilbroad Slaa hawa wote walikuwa makatibu wakuu wa chama wamewakimbia kwenda CCM.

Mmoja kala UDC mwingine ni balozi, wanaganga njaa zao.

Wengine kama Nasari, Waitara, Msando, Lijualikali, Covid 19 wamechagua njia hiyo hiyo kuganja njaa, kwani hamuoni huu ukweli?

Hamna macho? Hamfikiriii? Je, hamna akiliiii?

Muambiwe vip Ili muelewe
Wewe umeunganisha nguvu? Why unadhani wapinzani pekee yao ndo wanapaswa waunganishe nguvu? Ungesema wananchi waunganishe nguvu. By the way CCM itatoka soon or later, kwa amani au kwa Shari.
 
Sasa mkuu, bila kuungana wapinzan wa nchi hii wataweza vip kuidondosha CCM?

Mbowe ana miaka 17 yupo hatak kutoka.

Lipumba miaka zaid ya 17 yupo hataki kutoka.

Mbatia na wenzake hivyo hivyo,Mimi nakuambia hawa ni waganga Njaa tuh
Kwani hoja ni kukataa kutoka ama kuungana?
 
Wewe umeunganisha nguvu? Why unadhani wapinzani pekee yao ndo wanapaswa waunganishe nguvu? Ungesema wananchi waunganishe nguvu. By the way CCM itatoka soon or later, kwa amani au kwa Shari.

Wapinzani ndiyo mbadala wa chama tawala,that's why tunatoa Rai kuwa waungane Ili waweze kuitoa ccm madarakan
 
Mkuu Joka Kuu,

Nimekusoma.

..pamoja na mapungufu waliyonayo wapinzani, lakini ktk kipindi cha awamu ya 5 walifanyiwa mambo mabaya sana.

..katika maisha yangu sikuwahi kutegemea kama nitashuhudia unyama wa serikali dhidi ya wapinzani kama kilichotokea ktk awamu ya 5.

..Na uchaguzi mkuu nao ulikuwa kituko na aibu kubwa. toka lini kukawa na uchaguzi wa kidemokrasia wa vyama vingi halafu chama kimoja peke yake ndicho kinachopewa nafasi ya kuonekana kwenye vyombo vya habari?

..kwa kweli sijui watu wa vyombo vya habari wanajisikia vipi kwa kile walichokifanya kwa hiari au kulazimishwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.

..Na vyombo vya habari ni eneo moja tu, lakini tunaweza kuangazia ktk kada, na taasisi mbalimbali, jinsi zilivyoshiriki ktk dhuluma ile dhidi ya vyama vya upinzani.

..wengine ni viongozi wa DINI ambao waliamua kukaa kimya. hivi kweli kiongozi wa DINI anatakiwa kufumbia macho dhuluma waliyokuwa wakifanyiwa wapinzani?
 
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Unaungana na nani? ikiwa kwa mfano Chadema wanazunguka Nchi nzima kujenga Chama hao wengine wako twita wakisubiri teuzi watu wa hivyo unaungana nao ili iwejr
 
Unaungana na nani? ikiwa kwa mfano Chadema wanazunguka Nchi nzima kujenga Chama hao wengine wako twita wakisubiri teuzi watu wa hivyo unaungana nao ili iwejr
Sawa,lakin hao wengi walioenda kupokea teuzi ni kutoka kwenu,usisahau hilo
 
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.
Ukweli ni kuwa hata wakiungana wote hawawezi kuongoza nchi hii kwa mfumo wa kikatiba na kisheria uliopo. Huo ndiyo ukweli wenyewe na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.

mbna walishaungana na wakachukua na ziada ya ccm ila wap
 
Friends and Enemies,

Sikio la kufa haliskii dawa,tumekuwa wahanga wa siasa za majukwaani na mihemko kwa muda mrefu sana nchi hii tena zenye manufaa makubwa sana sana kimaslahi kwa wanasiasa,

Japo kama nchi tunahitaji chama cha siasa kituongoze hatuna jins kuendelea na siasa.

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasiasa wengi nchi hii ni wachumia tumbo,wachache Sana wenye uzalendo.

Hawa wapinzan tulionao hawataki kuambiwa ukweli kuwa umoja ni NGUVU, na bila kuungana wasahau kuiondoa CCM madarakani.

Ona wanachokifanya sasa hivi, badala ya kujikita katika kuungana na kutengeneza umoja wameanzisha harakati za kudai katiba mpya kwa makundi makundi, wanasahau kwanza kuungana na kudai hiyo katiba kwa umoja wao wameanza kudharauriana wenyewe kwa wenyewe, kwa style hiyo wataepuka vip hila za divide and rule?

Hawana misingi na mikakati thabiti, hawa ni waganga njaa tu.

Vyama vya siasa vina itikadi, malengo na sera tofauti. Kazi yao ni kuwashawishi wananchi juu ya ubora wa mielekeo yao hiyo tofauti katika kuchochea maendeleo na ustawi wa taifa.

Hakuna mantiki kwa vyama hivyo kuungana eti kwa lengo moja tu - kuiondoa CCM madarakani. Vikishaungana vitaeneza itikadi ipi? Malengo gani? Na sera zipi? Vitawaaminisha wananchi vinasimamia nini hasa? Kama kweli CCM ndio chama bora kinachokubalika na Watanzania wengi, tatizo liko wapi?

Tatizo la kubwa la Tanzania sio “mabadiliko ya chama tawala tu”. BALI ni CCM kuwa chama dola kilichohodhi madaraka kidikteta na kuhujumu mfumo mzima wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Kwa kutumia vyombo na taasisi za dola, CCM imejihakikishia kukaa madarakani kwa nguvu bila ridhaa ya wananchi.

Kutoliona hilo ni kielelezo cha uongo na unafiki.
 
Unajichanganya Sana kudhani hapa unaongea na mwanaccm,

Mimi siyo mshamba wa kukaa nishabikie chama Cha siasa Cha aina yyte ile kama wewe,

Mimi kama nikitaka siasa lazima niingie ulingon na Nile manufaa ya hiyo siasa,na siyo niishie kufia zangu jela kama wewe mdude,au kumpotezwa kama Ben saa nane au alphonce mawazo,haya ni maisha na tunaish Mara MOJA tuh dunian hapa,

Usiwe fala ukachezeshwa ngoma usiyoijua na hawa ccm au chadema,

Jitambue

Kama ndivyo ulivyo, huo utashi wa kuzungumzia siasa za vyama unatoka wapi? Halafu inakuwaje unaotoa ushauri usio na mantiki wala uhalisia? Unataka CCM iondolewe madarakani? Why? Is it sarcasm of sorts?
 
Back
Top Bottom