THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
- Thread starter
- #81
Tunakujua una nongwa na cdm. Kipindi cha dhalimu ulitulia dhidi ya Cdm, kwakuwa ndio chama haswa yule mtu muovu alikuwa anadeal nacho. Kwa maneno marahisi ulifura wao kufanyiwa, hapo hata ww hakukupa furaha. Udini utakulostisha dogo.
Udini vip sasa,kwamba nawachukia chadema kwa kuwa ni wakristo af ccm ni waislam au??
Unajua nyinyi watoto. Wa bavicha akili zenu wote ni kama za mdude tuh,that's why mnatupwa jela mnaishia kushikwa shikwa masaburi na wakulungwa kule