Kinachowafanya wapinzani wasihangaike kuonesha wanafaa kushika uongozi ni sababu Makonda anawasafishia njia

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,365
12,823
Friends and our Enemies, kindly go and listen the beautiful song of the late Lucky Dube ''Reap just like you sow''.

Move ya wapinzani kuingia barabarani na kuandamana kwa Amani huku wakipewa ulinzi na vyombo na Dola kwa kiasi kikubwa imeonekana kama ni pigo kwao na ushindi Kwa CCM kwa kuwa maandamano yalifanyika pasipo na kikwazo na HAIKUWA sababu ya kuleta joto joto la kisiasa nchini.

Sina uhakika Kwa upinzani kama kwao wanaona Kwa hilo wamefanikiwa au la.

Ila Kwa mtazamo wangu, kazi kubwa ya wapinzani ni kuangalia mapungufu ya chama Tawala na kuyakosoa na kusema wao wakishika dola watafanya Nini tofauti.

Kitu ambacho kinafanyika Kwa Sasa na mwenezi wa CCM ni kuwasadia na kuwarahishia kazi wapinzani, kwani talk of the town Kwa Sasa ni yeye na jinsi ambavyo amekuwa anayasema mapungufu lukuki ya serikali iliyoko madarakani, ambayo actually ni serikali Yao wenyewe CCM.

Wapinzani wanajiuliza why wapotekeze nguvu Yao na fedha Zao kwenda kuifanya kazi ambayo indirect way CCM wenyewe wanaifanya?

Utawala wa sheria kokote duniani lazima serikali iwe na checks and balances, na ndiyo MANTIKI ya uwepo wa Executive, Judiciary, and the Parliament.

Kusimama na kusema kwamba wananchi wasikimbilie mahakamani hadi kwanza wahakikishe Haki wanaipata kwa wateule wa Rais, ili hali kitu kilichowafanya hao wafikirie kukimbilia mahakamani ni kwa sababu ya kuikosa Haki hiyo serikalini ni kuzidi kuizalilisha concept yote ya uimara wa checks and balances ndani ya Taifa hili kuwa kwa kuzidi kuonesha kuwa kote kumeoza.

Hata Jaji Feleshi alipodiriki kusimama na kulisemea hilo japo kwa uchache naona alionekana kama kituko kwa baadhi ya watu lakini consequence yake ni hii inayoonekana sasa.

Kila siku ziara hizo zimekuwa zinaibua drama na uozo mwingi ndani ya serikali, ambayo ndiyo kazi kubwa ya wapinzani, sasa hata wakiingia ulingoni waseme Nini ili Hali Kwa asilimia kubwa mengi wanayasema wenyewe watawala?

So far umeme ameshasema, ardhi ameshasema, utekaji unaondelea ameshasema, bado sijamskia kwenye sukari na mengine, ingawa hata kama anasema Bado hakuna impact ya moja kwa moja kwa sababu mengi siyo matatizo ya kutolewa Majibu ya papo kwa papo na yakaisha.

Hiyo ndiyo sababu kubwa inayowapelekea wapinzani kukaa kwenye sofa na kula popcorn huku wakiendelea kusubiri muda uwe hakimu na kuendelea na mipango Yao mengine.

CCM ni kama wameamua kukubali kuendelea kuvuna walichokipanda?
 
Friends and our Enemies,

Kindly go and listen the beautiful song of the late Lucky Dube ''Reap just like you Sow''...

Move ya wapinzani kuingia barabarani na kuandamana Kwa Amani huku wakipewa ulinzi na vyombo na Dola Kwa kiasi kikubwa imeonekana kama ni pigo kwao na ushindi Kwa CCM Kwa kuwa maandamano yalifanyika pasipo na kikwazo na HAIKUWA sababu ya kuleta joto joto la kisiasa nchini.

Sina uhakika Kwa upinzani kama kwao wanaona Kwa hilo wamefanikiwa au la.

Ila Kwa mtazamo wangu,kazi kubwa ya wapinzani ni kuangalia mapungufu ya chama Tawala na kuyakosoa na kusema wao wakishika dola watafanya Nini tofauti.

Kitu ambacho kinafanyika Kwa Sasa na mwenezi wa CCM ni kuwasadia na kuwarahishia kazi wapinzani,kwani talk of the town Kwa Sasa ni yeye na jinsi ambavyo amekuwa anayasema mapungufu lukuki ya serikali iliyoko madarakani,ambayo actually ni serikali Yao wenyewe CCM.

Wapinzani wanajiuliza why wapotekeze nguvu Yao na fedha Zao kwenda kuifanya kazi ambayo indirect way CCM wenyewe wanaifanya?

Utawala wa sheria kokote dunian lazima serikali iwe na checks and balances,na ndiyo MANTIKI ya uwepo wa Executive, Judiciary,and the Parliament.

Kusimama na kusema kwamba wananchi wasikimbilie mahakamani hadi kwanza wahakikishe Haki wanaipata Kwa wateule wa Rais,ili Hali kitu kilichowafanya hao wafikirie kukimbilia mahakamani ni Kwa sababu ya kuikosa Haki hiyo serikalini ni kuzidi kuizalilisha concept yote ya uimara wa checks and balances ndani ya Taifa hili kuwa Kwa kurudi nesha kuwa kote kumeoza.

Hata Jaji Feleshi alipodiriki kusimama na kulisemea hilo japo Kwa uchache naona alionekana kama kituko Kwa baadhi ya watu lakini consequence yake ni hii inayoonekana Sasa.

Kila siku ziara hizo zimekuwa zinaibua drama na uozo mwingi ndani ya serikali,ambayo ndiyo kazi kubwa ya wapinzani,Sasa hata wakiingia ulingoni waseme Nini ili Hali Kwa asilimia kubwa mengi wanayasema wenyewe watawala?

So far umeme ameshasema,ardhi ameshasema,utekaji unaondelea ameshasema,Bado sijamskia kwenye sukari na mengine,ingawa hata kama anasema Bado hakuna impact ya Moja Kwa Moja Kwa sababu mengi siyo matatizo ya kutolewa Majibu ya papo Kwa papa na yakaisha.

Hiyo ndiyo sababu kubwa inayowapelekea wapinzani kukaa kwenye sofa na kula popcorn huku wakiendelea kusubiri muda uwe hakimu na kuendelea na mipango Yao mengine.

CCM,je ni kama wameamua kukubali kuendelea kuvuna walichokipanda??

(Reap just like you Sow'',by the late Lucky Dube)...
Siasa ni sayansi wewe dogo. Makonda kawatangulia waambie CHADEMA watafute mbinu nyingine kama ipo!!

Usiwape moyo, kazi ya siasa ni kusikilizwa na wapiga kura!! Kwa Sasa hawamsikilizi mwingine wanamsikiliza Makonda!!

UNAJITEKENYA kisha UNACHEKA mwenyewe
 
Wacha wapinzani wafanye njia zote watakazoona zinafaa, kama mambo yakiendelea kuwa magumu, which is very likely, hapo ndio itawalazimu kuja na mbinu nyingine ngumu zaidi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Friends and our Enemies, kindly go and listen the beautiful song of the late Lucky Dube ''Reap just like you sow''.

Move ya wapinzani kuingia barabarani na kuandamana kwa Amani huku wakipewa ulinzi na vyombo na Dola kwa kiasi kikubwa imeonekana kama ni pigo kwao na ushindi Kwa CCM kwa kuwa maandamano yalifanyika pasipo na kikwazo na HAIKUWA sababu ya kuleta joto joto la kisiasa nchini.

Sina uhakika Kwa upinzani kama kwao wanaona Kwa hilo wamefanikiwa au la.

Ila Kwa mtazamo wangu, kazi kubwa ya wapinzani ni kuangalia mapungufu ya chama Tawala na kuyakosoa na kusema wao wakishika dola watafanya Nini tofauti.

Kitu ambacho kinafanyika Kwa Sasa na mwenezi wa CCM ni kuwasadia na kuwarahishia kazi wapinzani, kwani talk of the town Kwa Sasa ni yeye na jinsi ambavyo amekuwa anayasema mapungufu lukuki ya serikali iliyoko madarakani, ambayo actually ni serikali Yao wenyewe CCM.

Wapinzani wanajiuliza why wapotekeze nguvu Yao na fedha Zao kwenda kuifanya kazi ambayo indirect way CCM wenyewe wanaifanya?

Utawala wa sheria kokote duniani lazima serikali iwe na checks and balances, na ndiyo MANTIKI ya uwepo wa Executive, Judiciary, and the Parliament.

Kusimama na kusema kwamba wananchi wasikimbilie mahakamani hadi kwanza wahakikishe Haki wanaipata kwa wateule wa Rais, ili hali kitu kilichowafanya hao wafikirie kukimbilia mahakamani ni kwa sababu ya kuikosa Haki hiyo serikalini ni kuzidi kuizalilisha concept yote ya uimara wa checks and balances ndani ya Taifa hili kuwa kwa kurudi nesha kuwa kote kumeoza.

Hata Jaji Feleshi alipodiriki kusimama na kulisemea hilo japo kwa uchache naona alionekana kama kituko kwa baadhi ya watu lakini consequence yake ni hii inayoonekana sasa.

Kila siku ziara hizo zimekuwa zinaibua drama na uozo mwingi ndani ya serikali, ambayo ndiyo kazi kubwa ya wapinzani, sasa hata wakiingia ulingoni waseme Nini ili Hali Kwa asilimia kubwa mengi wanayasema wenyewe watawala?

So far umeme ameshasema, ardhi ameshasema, utekaji unaondelea ameshasema, bado sijamskia kwenye sukari na mengine, ingawa hata kama anasema Bado hakuna impact ya moja kwa moja kwa sababu mengi siyo matatizo ya kutolewa Majibu ya papo kwa papa na yakaisha.

Hiyo ndiyo sababu kubwa inayowapelekea wapinzani kukaa kwenye sofa na kula popcorn huku wakiendelea kusubiri muda uwe hakimu na kuendelea na mipango Yao mengine.

CCM ni kama wameamua kukubali kuendelea kuvuna walichokipanda?
Uko sahihi kabisa. Niliwahi kusema humu kuwa ziara za Makonda zina mambo makubwa manne ambayo yote hayana faida kwa CCM.
1) Zinamjenga Makonda yeye binafsi
2) Zinaivua nguo serikali kwani maovu yote yanayolalamikiwa ni matokeo ya utendaji duni wa wateule wa Rais ambao wote ni makada wa CCM.
3) Zinaichonganisha serikali na wananchi ambao ndiyo wapiga kura.
4) Zinawapa wapinzani fimbo ya kuja kuichapia CCM wakati wa chaguzi zijazo.
Kwa ujumla Makonda anaikaanga CCM kwa mafuta yake yenyewe.
FB_IMG_1626856519720.jpg
 
Uko sahihi kabisa. Niliwahi kusema humu kuwa ziara za Makonda zina mambo makubwa manne ambayo yote hayana faida kwa CCM.
1) Zinamjenga Makonda yeye binafsi
2) Zinaivua nguo serikali kwani maovu yote yanayolalamikiwa ni matokeo ya utendaji duni wa wateule wa Rais ambao wote ni makada wa CCM.
3) Zinaichonganisha serikali na wananchi ambao ndiyo wapiga kura.
4) Zinawapa wapinzani fimbo ya kuja kuichapia CCM wakati wa chaguzi zijazo.
Kwa ujumla Makonda anaikaanga CCM kwa mafuta yake yenyewe.View attachment 2900572
🗼💐🎁🔊🆒
 
Anachofanya Makonda hakiwasaidii wapinzani hata kidogo. Anachofanya ni kuwaambia wananchi kuwa tatizo siyo CCM wala Rais bali ni watendaji mmoja mmoja.
 
Friends and our Enemies, kindly go and listen the beautiful song of the late Lucky Dube ''Reap just like you sow''.

Move ya wapinzani kuingia barabarani na kuandamana kwa Amani huku wakipewa ulinzi na vyombo na Dola kwa kiasi kikubwa imeonekana kama ni pigo kwao na ushindi Kwa CCM kwa kuwa maandamano yalifanyika pasipo na kikwazo na HAIKUWA sababu ya kuleta joto joto la kisiasa nchini.

Sina uhakika Kwa upinzani kama kwao wanaona Kwa hilo wamefanikiwa au la.

Ila Kwa mtazamo wangu, kazi kubwa ya wapinzani ni kuangalia mapungufu ya chama Tawala na kuyakosoa na kusema wao wakishika dola watafanya Nini tofauti.

Kitu ambacho kinafanyika Kwa Sasa na mwenezi wa CCM ni kuwasadia na kuwarahishia kazi wapinzani, kwani talk of the town Kwa Sasa ni yeye na jinsi ambavyo amekuwa anayasema mapungufu lukuki ya serikali iliyoko madarakani, ambayo actually ni serikali Yao wenyewe CCM.

Wapinzani wanajiuliza why wapotekeze nguvu Yao na fedha Zao kwenda kuifanya kazi ambayo indirect way CCM wenyewe wanaifanya?

Utawala wa sheria kokote duniani lazima serikali iwe na checks and balances, na ndiyo MANTIKI ya uwepo wa Executive, Judiciary, and the Parliament.

Kusimama na kusema kwamba wananchi wasikimbilie mahakamani hadi kwanza wahakikishe Haki wanaipata kwa wateule wa Rais, ili hali kitu kilichowafanya hao wafikirie kukimbilia mahakamani ni kwa sababu ya kuikosa Haki hiyo serikalini ni kuzidi kuizalilisha concept yote ya uimara wa checks and balances ndani ya Taifa hili kuwa kwa kurudi nesha kuwa kote kumeoza.

Hata Jaji Feleshi alipodiriki kusimama na kulisemea hilo japo kwa uchache naona alionekana kama kituko kwa baadhi ya watu lakini consequence yake ni hii inayoonekana sasa.

Kila siku ziara hizo zimekuwa zinaibua drama na uozo mwingi ndani ya serikali, ambayo ndiyo kazi kubwa ya wapinzani, sasa hata wakiingia ulingoni waseme Nini ili Hali Kwa asilimia kubwa mengi wanayasema wenyewe watawala?

So far umeme ameshasema, ardhi ameshasema, utekaji unaondelea ameshasema, bado sijamskia kwenye sukari na mengine, ingawa hata kama anasema Bado hakuna impact ya moja kwa moja kwa sababu mengi siyo matatizo ya kutolewa Majibu ya papo kwa papa na yakaisha.

Hiyo ndiyo sababu kubwa inayowapelekea wapinzani kukaa kwenye sofa na kula popcorn huku wakiendelea kusubiri muda uwe hakimu na kuendelea na mipango Yao mengine.

CCM ni kama wameamua kukubali kuendelea kuvuna walichokipanda?
Wewe yani unawadanganya kabisa chadema kuwa Makonda ana watafutia kura? Baadae kwenye uchaguzi watawapigia chadedema baada ya kushawishiwa na Makonda? Hahahahaha sidhani kama kuna mwanachadema anaweza kukubali hili….
 
Wewe yani unawadanganya kabisa chadema kuwa Makonda ana watafutia kura? Baadae kwenye uchaguzi watawapigia chadedema baada ya kushawishiwa na Makonda? Hahahahaha sidhani kama kuna mwanachadema anaweza kukubali hili….
Hana maana hiyo ila ni kuwa haya anayoibua Makonda ambayo ni udhaifu wa serikali ya CCM yanaweza kutumiwa na wapinzani kuwa ni failure ya CCM kuisimamia serikali. Na kwa vile hizi ni sanaa za majukwaani tu akishapita Makonda ni business as usual hazina msaada sana kwa CCM sana sana zinaacha mpasuko, rejea kauli ya AG Feleshi kulaumu staili hii ya Makonda. Ni wengi watumishi wa serikali hadi wateule wa Rais wanachukizwa na ziara za Makonda.
 
Uko sahihi kabisa. Niliwahi kusema humu kuwa ziara za Makonda zina mambo makubwa manne ambayo yote hayana faida kwa CCM.
1) Zinamjenga Makonda yeye binafsi
2) Zinaivua nguo serikali kwani maovu yote yanayolalamikiwa ni matokeo ya utendaji duni wa wateule wa Rais ambao wote ni makada wa CCM.
3) Zinaichonganisha serikali na wananchi ambao ndiyo wapiga kura.
4) Zinawapa wapinzani fimbo ya kuja kuichapia CCM wakati wa chaguzi zijazo.
Kwa ujumla Makonda anaikaanga CCM kwa mafuta yake yenyewe.View attachment 2900572
Ni kama Mimi nimesherehesha tuh ulichokiongea Mkuu...
 
Hana maana hiyo ila ni kuwa haya anayoibua Makonda ambayo ni udhaifu wa serikali ya CCM yanaweza kutumiwa na wapinzani kuwa ni failure ya CCM kuisimamia serikali. Na kwa vile hizi ni sanaa za majukwaani tu akishapita Makonda ni business as usual hazina msaada sana kwa CCM sana sana zinaacha mpasuko, rejea kauli ya AG Feleshi kulaumu staili hii ya Makonda. Ni wengi watumishi wa serikali hadi wateule wa Rais wanachukizwa na ziara za Makonda.
Kuna kauli anasema kwamba baada ya ziara anaenda kupeleka report juu, kwahiyo watu wajipange na utenguzi wa nafasi Zao...
 
Kuna kauli anasema kwamba baada ya ziara anaenda kupeleka report juu, kwahiyo watu wajipange na utenguzi wa nafasi Zao...
Na anatamba kuwa watakao tumbuliwa wasimlaumu Rais kwani ni 'yeye Makonda anamuagiza Mh. Rais awatengue'. Ameota magego huyu hadi kuwa na uwezo wa kumwagiza Mh. Rais siyo mchezo.
 
Wewe yani unawadanganya kabisa chadema kuwa Makonda ana watafutia kura? Baadae kwenye uchaguzi watawapigia chadedema baada ya kushawishiwa na Makonda? Hahahahaha sidhani kama kuna mwanachadema anaweza kukubali hili….
Hivi nyie chama cha mambuzi huwa mnaona wapinzani ni chadema tu!?.
 
Friends and our Enemies, kindly go and listen the beautiful song of the late Lucky Dube ''Reap just like you sow''.

Move ya wapinzani kuingia barabarani na kuandamana kwa Amani huku wakipewa ulinzi na vyombo na Dola kwa kiasi kikubwa imeonekana kama ni pigo kwao na ushindi Kwa CCM kwa kuwa maandamano yalifanyika pasipo na kikwazo na HAIKUWA sababu ya kuleta joto joto la kisiasa nchini.

Sina uhakika Kwa upinzani kama kwao wanaona Kwa hilo wamefanikiwa au la.

Ila Kwa mtazamo wangu, kazi kubwa ya wapinzani ni kuangalia mapungufu ya chama Tawala na kuyakosoa na kusema wao wakishika dola watafanya Nini tofauti.

Kitu ambacho kinafanyika Kwa Sasa na mwenezi wa CCM ni kuwasadia na kuwarahishia kazi wapinzani, kwani talk of the town Kwa Sasa ni yeye na jinsi ambavyo amekuwa anayasema mapungufu lukuki ya serikali iliyoko madarakani, ambayo actually ni serikali Yao wenyewe CCM.

Wapinzani wanajiuliza why wapotekeze nguvu Yao na fedha Zao kwenda kuifanya kazi ambayo indirect way CCM wenyewe wanaifanya?

Utawala wa sheria kokote duniani lazima serikali iwe na checks and balances, na ndiyo MANTIKI ya uwepo wa Executive, Judiciary, and the Parliament.

Kusimama na kusema kwamba wananchi wasikimbilie mahakamani hadi kwanza wahakikishe Haki wanaipata kwa wateule wa Rais, ili hali kitu kilichowafanya hao wafikirie kukimbilia mahakamani ni kwa sababu ya kuikosa Haki hiyo serikalini ni kuzidi kuizalilisha concept yote ya uimara wa checks and balances ndani ya Taifa hili kuwa kwa kuzidi kuonesha kuwa kote kumeoza.

Hata Jaji Feleshi alipodiriki kusimama na kulisemea hilo japo kwa uchache naona alionekana kama kituko kwa baadhi ya watu lakini consequence yake ni hii inayoonekana sasa.

Kila siku ziara hizo zimekuwa zinaibua drama na uozo mwingi ndani ya serikali, ambayo ndiyo kazi kubwa ya wapinzani, sasa hata wakiingia ulingoni waseme Nini ili Hali Kwa asilimia kubwa mengi wanayasema wenyewe watawala?

So far umeme ameshasema, ardhi ameshasema, utekaji unaondelea ameshasema, bado sijamskia kwenye sukari na mengine, ingawa hata kama anasema Bado hakuna impact ya moja kwa moja kwa sababu mengi siyo matatizo ya kutolewa Majibu ya papo kwa papo na yakaisha.

Hiyo ndiyo sababu kubwa inayowapelekea wapinzani kukaa kwenye sofa na kula popcorn huku wakiendelea kusubiri muda uwe hakimu na kuendelea na mipango Yao mengine.

CCM ni kama wameamua kukubali kuendelea kuvuna walichokipanda?
Hoja ya kijinga kabisa halafu baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 mdai mmeibiwa kura! Pumbavu!!!
 
Na anatamba kuwa watakao tumbuliwa wasimlaumu Rais kwani ni 'yeye Makonda anamuagiza Mh. Rais awatengue'. Ameota magego huyu hadi kuwa na uwezo wa kumwagiza Mh. Rais siyo mchezo.

Hatari sana,ni muendelezo wa utendaji wa mambo yake ya siki zote.
 
Back
Top Bottom