Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Status
Not open for further replies.
Wanazuga tu hao kina Ummy.
Mbona wanaenda kumhoji Nyalandu kama kweli wanamjali Lissu?
Wanafiki
 
Changeni tu ila wajinga ndio waliwao. Wajanja wataendelea kuzipiga hizo hela zenu hadi mkome.
Duh, hicho kiwewe kimekukumba na wewe...pole sana, laana mbaya aisee. Wajanja wanajua madhara ya kumkabidhi kichaa rungu.
 
~~=>>>Ninalolitambua kwasasa ni kwamba nchi tumewakabidhi Washamba.

~~>> Kila jambo linafanywa Kishamba Shamba..
 
Nar
Duh, hicho kiwewe kimekukumba na wewe...pole sana, laana mbaya aisee. Wajanja wanajua madhara ya kumkabidhi kichaa rungu.
Narudia tena Mkuu, hizo hela mnazochanga wajanja wakina Msigwa na Lema wanakesha night club wakitumbua na vimwana Nairobi. Wajinga ndio waliwao Mkuu. Jikamueni hicho kidogo mlichonacho muwape wajanja wapige.
 
Mimi naona serikali iachane na mambo ya Lissu kwa sababu hata ifanyeje, haitosaidia chochote.

Wamwache tu huyo Lissu achangiwe na wanaotaka kuchanga.
Na shida kubwa ni pale ambapo serikali ndiyo inayoaminika kuhusika. na kauli za magu ndio kabisaaa zina toa conclusion.

Cha msingi serikal ikae kimya wala isitie mikono yake. Acha wenye mapenzi/mahaba wamgharamie
 
Huyu alipewa uwaziri kwa kukata viuno mwanana hivyo hajui nini maana ya kiwa waziri
Mkuu Kigogo, aliyekuzaa wewe alimkatia viuno Baba yako na baada ya miezi tisa akaenda leba kukuzaa wewe.

Hivyo hata kama unavuta bangi na kunywa pombe, jaribu kuweka staha katika maneno yako. Mheshimiwa Waziri anaweza kuwa dada yako hata Mama yako mzazi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom