Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,860
- 50,645
Kwa ivo Tembo na Faru maisha yao yana thamani kuliko ya binadamu mwenzenu Lissu?Typically akili za Bavicha
Kwahiyo tembo wa serengeti nao waandike barua ili walindwe
Nilikuwa sijui kumbe lissu kawa mnyama siku hizi nae mpaka case yake ifananishwe na mnyama "hayawani"
Hajamfananisha Lissu na mnyama bali amefananisha matukio, moja dhaifu (Faru John) na jingine la muhimu la Lissu!