Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Status
Not open for further replies.
..@Kigogo, please please please.

..siyo vizuri kumvunjia heshima Mh.Ummy Mwalimu.

..tuwe na lugha za staha tunapozungumza kuhusu Dada zetu/ Mama Zetu.

..hili bandiko lako linaweza kusomwa na mumewe Mh.Mwalimu au linaweza kuishi na kuja kusomwa na wanae Mh.Mwalimu.

..bandiko lako halipendezi.

..nakuomba ulifute.
Hana mume aliachika kitambo sana..mumewe alimuoa rafiki yake kabisa...halafu suala la umahiri wa mapangaboi nina ushahidi nalo akibisha ntaweka ushahidi hapa kama Mabeto
 
..ndiyo tumeuona mziki.

..sasa ruhusuni basi walau na sisi tukusanyike tumuombee mgonjwa wetu yupo ICU.

..nyinyi endeleeni na mziki.

..sisi tunataka kufanya MAOMBI.
Magaidi hamuwezi kuruhusiwa kufanya mikutano ya kufanya mipango ya ugaidi.
 
Kama kweli wanataka kushiriki matibabu ya TL wachangie kwenye A/C No,01J1080100600 crdb bank mengine ni porojo WANAWEZA VIZURI HAWAWEZI AHSANTE
 
Magaidi hamuwezi kuruhusiwa kufanya mikutano ya kufanya mipango ya ugaidi.

..tema mate chini.

..Tz hakuna magaidi.

..ccm endeleeni na mziki.

..sisi tunataka kumuombea mpendwa wetu TL na kuchangia damu.
 
Acheni Bangi nyie. Mlikimbia Na mgonjwa wenu Sasa maji ya shingo hamjui mfanye nini
Si wamesema wana mil 204 mkuu na bado zinazidi kuchangwa tu maji yapi yaliyowafika shingoni, ya Dawasco au ya kisima?
 
Huenda "Shetani" alifanya mioyo yao kuwa na hisia/dhania kuwa asinge-survive. Na kwamba kwa wakati ule wangepoteza tu pesa kumtibu "mtu wa kufa"

Na sasa wametambua kuwa hisia zao hazikuwa sahihi hivyo wameonelea nao washiriki kumtibu kwa kuwa "amekishinda kifo" na pesa zao hazitapotea tena.

Huenda Waserikali wetu walikata tamaa mapema. Tuwaelewe na tuwasamehe..

Get well soon Tundu Antipas Lissu.
Seriously? Yaani kuokoa uhai wa binadamu mwenzako unafikiria utapoteza pesa? Kwani wangepoteza kuna ubaya gani? Si angalau nafsi zinakuwa na amani kwamba angalau tulijitahidi kuokoa maisha yake!

Labda kama unatania chifu. Lakini serikali haina excuse kwa hili. Kama alivyosema chifu Jokakuu, Ummy aombe radhi tu. Ila nisingependa familia ya Lissu ama CHADEMA wakubali msaada wa serikali hata baada ya Ummy kuomba radhi. Wananchi tutaendelea kumchangia kamanda.
 
Acheni Bangi nyie. Mlikimbia Na mgonjwa wenu Sasa maji ya shingo hamjui mfanye nini
Akili uliyonayo inakutosha kujua ulipo Mlango wa Chooni tu...
Serikali na cdm Anajiliza kama sio Serikali.. ulishawasikia Cdm wameenda kuomba Hela Serikalini
Jinga kabisa
 
Msimlaumu dada Ummy inaonyeshakapewa agizo, kashindwa kukataa kulitimiza.
 
..kosa la CDM ni lipi?

..wamempeleka TL Nairobi despite all the challenges they had na wameweza kuokoa maisha yake.

..YES, Muhimbili is a referall organ,lakini kwa hali aliyokuwa naye TL kulikuwa na ulazima kwa waziri kuchukua maamuzi nje ya taratibu.

..Waziri anakosea kuiweka familia ktk wakati mgumu wa kuchagua kati ya CDM na SERIKALI.

Kwa hiyo issue ni siasa sio? na sio maisha ya mtu? kwa nini familia iwe kwenye wakati mgumu?

kama madaktari wa dodoma waliaminika kwa nini a DSM hawakuaminika?

na je CDM baadae watakuwa kila siku wakienda nairobi?
 
Mimi naona serikali iachane na mambo ya Lissu kwa sababu hata ifanyeje, haitosaidia chochote.

Wamwache tu huyo Lissu achangiwe na wanaotaka kuchanga.

its can be. But there is a thin line in between. Lissu ni Mbunge. Anazo haki na stahili kama mbunge wa nchi hii. Kusema hvyo,serikali ilikosea tokea mwanzo kuleta siasa.
 
Watanzania daini katiba mpya vinginevyo mtapata tabu sana.
 
its can be. But there is a thin line in between. Lissu ni Mbunge. Anazo haki na stahili kama mbunge wa nchi hii. Kusema hvyo,serikali ilikosea tokea mwanzo kuleta siasa.

Si serikali peke yake iliyoleta siasa.

Hata CHADEMA walileta siasa.
 
Seriously? Yaani kuokoa uhai wa binadamu mwenzako unafikiria utapoteza pesa? Kwani wangepoteza kuna ubaya gani? Si angalau nafsi zinakuwa na amani kwamba angalau tulijitahidi kuokoa maisha yake!

Labda kama unatania chifu. Lakini serikali haina excuse kwa hili. Kama alivyosema chifu Jokakuu, Ummy aombe radhi tu. Ila nisingependa familia ya Lissu ama CHADEMA wakubali msaada wa serikali hata baada ya Ummy kuomba radhi. Wananchi tutaendelea kumchangia kamanda.
"Shetani" ana nguvu ya ushawishi mkuu.

Pray for Lissu.
 
Hawezi kuomba radhi kwa kuogopa kutumbuliwa. Ila nakushauri tu utambuwe kwamba yuko mwandishi mmoja airways James Hadley Chase aliwahi kuandika novel " The guilty are always afraid " kitafute ukisome utaelewa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom