Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Status
Not open for further replies.
Huyu alipewa uwaziri kwa kukata viuno mwanana hivyo hajui nini maana ya kiwa waziri

..@Kigogo, please please please.

..siyo vizuri kumvunjia heshima Mh.Ummy Mwalimu.

..tuwe na lugha za staha tunapozungumza kuhusu Dada zetu/ Mama Zetu.

..hili bandiko lako linaweza kusomwa na mumewe Mh.Mwalimu au linaweza kuishi na kuja kusomwa na wanae Mh.Mwalimu.

..bandiko lako halipendezi.

..nakuomba ulifute.
 
Get well soon Lisu

Wanaolinda matumbo yao hawawezi kukwamisha mipango ya Mungu
 
..Mbona familia ilimuomba Waziri na Spika kwamba wampeleke Nairobi badala ya Muhimbili
na wakakataa?
mkuu kubali tu kuwa issue imebebwa kisiasa sana

kubali kila upande una makosa

kubali kuwa referral organ ni muhimbili

kubali kuwa kwa hali ile, ambaye angejifanya anawashwa kutoka serikalini ndio angeonekana muuaji


tukubali pia serikali inaweza ika act bila taratibu....mawasiliano yalikwaje?
 
Tunachanga na tutaendelea kuchanga hicho kiasi kidogo tulicho nacho...Mh. Tundu Antiphas Lissu ndiye mzalendo pekee katika taifa hili baada ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Huyo Ummy Mwalimu anateseka, kiwewe kilichowakumba wenzake wote na yeye hakijamwacha salama. Waliokuwa wasaidizi wa Adolf Hitler wote wanawindwa hadi leo miaka zaidi ya 80 toka alipojiua yeye na mkewe.
 
mkuu kubali tu kuwa issue imebebwa kisiasa sana

kubali kila upande una makosa

kubali kuwa referral organ ni muhimbili

kubali kuwa kwa hali ile, ambaye angejifanya anawashwa kutoka serikalini ndio angeonekana muuaji


tukubali pia serikali inaweza ika act bila taratibu....mawasiliano yalikwaje?

..kosa la CDM ni lipi?

..wamempeleka TL Nairobi despite all the challenges they had na wameweza kuokoa maisha yake.

..YES, Muhimbili is a referall organ,lakini kwa hali aliyokuwa naye TL kulikuwa na ulazima kwa waziri kuchukua maamuzi nje ya taratibu.

..Waziri anakosea kuiweka familia ktk wakati mgumu wa kuchagua kati ya CDM na SERIKALI.
 
Upelelezi utafanikiwa kivipi wakati yule shahidi muhimu mmemficha Nairobi? Eti yeye atautoa ushahidi huo kwa Scotland yard au FBI tu na siyo kwa wapelelezi wetu ambao hamna imani nao. Hivyo upelelezi mmeukwamisha wenyewe kwani serikali haiwezi kuruhusu wapelelezi wa kizungu nchini kwetu.
Kama una muda ngoja tuzungumze kidogo.
-Lissu amepigwa risasi mbele ya nyumba za viongozi na kabla ya kufika hapo kuna gate unapita.
-Lissu amepigwa risasi eneo amablo linalindwa
-Gari iliyokuwa inamfuatilia namba zake zimeshatajwa
-Risasi 30 kutoka katika SMG si kishindo kidogo,vipi majirani?
Bado ushahidi wa dereva wa Lissu ndiyo muhimu kuliko woteee hao.
 
Mimi naona serikali iachane na mambo ya Lissu kwa sababu hata ifanyeje, haitosaidia chochote.

Wamwache tu huyo Lissu achangiwe na wanaotaka kuchanga.
Tatizo hata ikijaribu kuacha "nafsi" inasuta. Ikijaribu kuweka pamba masikioni isisikie, bado inatamani kusikia. Kiukweli kuachana na hoja ya Tundu Lissu ni ngumu kuliko unavyofikiria mkuu. For almost two weeks now, the story is the same. Kama wewe tu umeshindwa kuachana na story hizi, itakuwa na serikali???
 
Ni sawa kabisa utaratibu huu upo hata kwa watumishi wengine usipofuata mfumo Wa serikali ujigharamie hata awe rais. Mabadiriko hayawezi kuanza kwa lissu lazima utaratibu ufuatwe huku tukizingatia kubana matumizi
Mnajipendekeza kwa Lissu duuuuuh na kasema hataki misaada yenu
 
..kosa la CDM ni lipi?

..wamempeleka TL Nairobi despite all the challenges they had na wameweza kuokoa maisha yake.

..YES, Muhimbili is a referall organ,lakini kwa hali aliyokuwa naye TL kulikuwa na ulazima kwa waziri kuchukua maamuzi nje ya taratibu.

..Waziri anakosea kuiweka familia ktk wakati mgumu wa kuchagua kati ya CDM na SERIKALI.
Mkuu chama ndio kinachaguliwa serikali haichaguliwi watake wasitake wataipenda tu serikali na wataiheshimu wakiona hawawezi watafute nchi yakwenda na wataiomba serikali iwaruhusu. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mimi naona serikali iachane na mambo ya Lissu kwa sababu hata ifanyeje, haitosaidia chochote.

Wamwache tu huyo Lissu achangiwe na wanaotaka kuchanga.

..kule CDM kuna watu wazima ambao vichwa vyao vimetulia.

..Mh.Ummy Mwalimu angeweza kuwa-approach hao ili serikali iweze ku-play a role ktk kumtibu TL.

..lakini hili la kwenda kwenye vyombo vya habari na kuielekeza familia/mkewe TL aandike barua serikalini nadhani siyo uungwana.

..Mama Alicia Lissu already has enough stress. Sasa ya nini kumuongezea masahibu mengine ya kumtoa mgonjwa ktk mikono ya watu waliomhangaikia mpaka leo ana nafuu, na kumkabidhi kwa serikali ambayo haikumjali TL wakati ule yupo ktk hatihati ya kufa?
 
Kama mgonjwa alikiuka utaratibu wa serekali ambao ni kutibiwa ndani ya nchi,kwa nini wanawazuia wananchi wanaofuata utaratibu wa kutaka kutoa damu kwa ajili ya mgonjwa kwenye hospitali za ndani ya nchi?.
 
Hataomba radhi,wala ridhaa.hilo ni darasa la kuwa mwana ccm,ni lazima umudu ukatili,uongo,uzushi,uchonganishi,uuwaji na ubaya wote uliopo duniani !.ila ukiwa na tabia tofauti na iliyopo kwenye ilani ya ccm,risasi kadhaa zinatengwa na jeshi la bashite kwa ajili yako,na unatangaziwa kuto "survive" kama Lisu !!! ccm ipo kwa ajili ya kuuwa,na kuharibu kila jema ktk uso wa nchi ! Mungu kama uliwapishanisha wanadamu lugha,na wakashindwa kuijenga babeli,ninahakika hutashindwa kupishanisha lugha za wana ccm,mpaka washindwe kupanga uovu wowote dhidi ya wananchi, ikiwemo na mauwaji ya kikatili yaliyoshamiri nchini sasa hivi,Amen
 
Acheni Bangi nyie. Mlikimbia Na mgonjwa wenu Sasa maji ya shingo hamjui mfanye nini

..sawa.

..sasa kinachomfanya Mh.Mwalimu aanze kukimbizana na hao waliomkimbiza mgonjwa ni nini?

..hebu tutumie busara kidogo ktk kujadili suala hili.
 
..kule CDM kuna watu wazima ambao vichwa vyao vimetulia.

..Mh.Ummy Mwalimu angeweza kuwa-approach hao ili serikali iweze ku-play a role ktk kumtibu TL.

..lakini hili la kwenda kwenye vyombo vya habari na kuielekeza familia/mkewe TL aandike barua serikalini nadhani siyo uungwana.

..Mama Alicia Lissu already has enough stress. Sasa ya nini kumuongezea masahibu mengine ya kumtoa mgonjwa ktk mikono ya watu waliomhangaikia mpaka leo ana nafuu, na kumkabidhi kwa serikali ambayo haikumjali TL wakati ule yupo ktk hatihati ya kufa?
Huenda "Shetani" alifanya mioyo yao kuwa na hisia/dhania kuwa asinge-survive. Na kwamba kwa wakati ule wangepoteza tu pesa kumtibu "mtu wa kufa"

Na sasa wametambua kuwa hisia zao hazikuwa sahihi hivyo wameonelea nao washiriki kumtibu kwa kuwa "amekishinda kifo" na pesa zao hazitapotea tena.

Huenda Waserikali wetu walikata tamaa mapema. Tuwaelewe na tuwasamehe..

Get well soon Tundu Antipas Lissu.
 
..@Kigogo, please please please.

..siyo vizuri kumvunjia heshima Mh.Ummy Mwalimu.

..tuwe na lugha za staha tunapozungumza kuhusu Dada zetu/ Mama Zetu.

..hili bandiko lako linaweza kusomwa na mumewe Mh.Mwalimu au linaweza kuishi na kuja kusomwa na wanae Mh.Mwalimu.

..bandiko lako halipendezi.

..nakuomba ulifute.

Wacha watu waseme ukweli kama wanaushahidi, Ukweli utatuweka huru,ingawa kujadili personality inaitaji umakini
Ummy ameonesha anamatatitizo na anaweza kuwa kwenye utafiti wa twaweza 1:4 ni kichaa.
 
Hawezi kuomba radhi na wala haelewi kama amefanya kosa, hii ni kutokana na position aliyopo na muktadha wa tukio husika
 
..kichwa cha habari hapo juu kinahusika.

..Mh.Ummy Mwalimu ndiye aliyetoa uamuzi kwamba serikali haitalipia ndege wale matibabu ya TL Nairobi.

..Sijui kama Ummy Mwalimu aliweza kumwangalia usoni mke wa Tundu Lissu usiku ule pale uwanja wa ndege Dodoma. Na kama alimwangalia sijui alijisikia vipi.

..Je, hakuguswa na hali aliyokuwa nayo Tundu Lissu? Je nafsi yake ilimtuma kwamba taratibu ni muhimu kuliko maisha ya mtu?

..Ule ulikuwa ni uamuzi mbaya. Huenda Mh.Ummy Mwalimu aliogopa KUTUMBULIWA kama angechukua uamuzi kwa niaba ya serikali kulipia usafiri na matibabu ya TL Nairobi.

..Kwa maana hiyo Mh.Ummy Mwalimu aliona ni bora kulinda cheo chake kuliko kuokoa maisha ya mbunge mwenzake, mwanasheria mwenzake, Tundu Antipas Lissu.

..Sasa haitoshi Mh.Ummy Mwalimu kujitokeza baada ya wiki mbili na "KUTENGUA" uamuzi wake wa awali kuwa serikali haitahusika na kumsafirisha wala kumtibu Tundu Lissu Nairobi.

..Si vizuri kuiweka familia ya TL katika mvutano huu baina ya serikali na CDM. Mh.Ummy Mwalimu muonee huruma Mama Alicia Lissu, mke wa TL. Kabla ya kumuamrisha Mama Alicia Lissu akuandikie barua ya maombi ya matibabu ya mumewe ni vizuri ukaweka sawa mahusiano ya serikali na CDM[wanaomhudumia TL mpaka sasa hivi].

..Ombi langu ni hili: MHESHIMIWA UMMY MWALIMU OMBA RADHI. SAY THAT YOU MADE A BAD DECISION AND YOU ARE SORRY.

CC Nguruvi3, BAK, Nyani Ngabu, Mbase1970 , Mag3, @
Rubbish, aombe radhi kwa lipi??? Akina mbowe wenyewe hawaiamini serikali ndiyo kusema wabembelezwe, nadhani nyie wanafiki mmeuona mziki leo arusha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom