Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Ummy Mwalimu aitetea Serikali kuhusu Lissu

Status
Not open for further replies.
Hilo fedha ziwekeni tu subiri watu wenu wanaolipa kodi bila shuruti mkawalipie.
Njia n.a. namna ni nyingi za kusaidia shujaa huyu bila kumdhalilisha.
Wahanga wa Kagera,bomoa bomoa mmemalizana nao vizuri?
Wahitaji ni wengi!
 
Naungana na waziri wa afya yupo sahihi kabisa.
 
Wahusika katika nyanja mbalimbali wa tukio hili na mengine ya aina hii wakumbuke kuwa malipo ya UBAYA yapo hapahapa duniani
 
I am not a fan at all; lakini kwa taratibu walizojiwekea, maamuzi ya CDM na jinsi serikari inavyoweza saidia kwa sasa for once I agree with her.

Rules are rules, simple as that.
 
Rais Magufuli Alipokua Tanga Tarehe 6 August 2017 Alisema Kuna Mawaziri Wapumbavu, Ummy Mwalimu Anatokea Tanga !!
Bila shaka alikuwa anatupa ujumbe wenyeji wa huko kuwa hata kama ni viti maalumu ila muwe mnaangalia na mtu mwenyewe huoni mmeniingiza mkenge na kama mnavyojua utumbuaji kwasasa sio dili.
 
Ukitumwa na mjinga unaishia wewe kuonekana ndio mjinga. Sometimes ni vizuri kutumia akili yako mwenyewe unaweza kueleweka japo baadhi ya mambo ni nje ya uwezo wa mwanadamu kueleweka
 
Ni sawa kabisa utaratibu huu upo hata kwa watumishi wengine usipofuata mfumo Wa serikali ujigharamie hata awe rais. Mabadiriko hayawezi kuanza kwa lissu lazima utaratibu ufuatwe huku tukizingatia kubana matumizi
Sijui umekula maharage ya wap ww!! Hivi unajua rais mpaka nguo anazovaa inanunua serikali?? Sembuse akiumwa ? Ukiwa mtupu kichwan kaa kimya usije umbuka! Kwa taarifa yako chochote anachokifanya rais ni lazma kipitiwe na wana usalama. Mpaka kwenda chooon.
 
Chonde chonde Ummy usinitafutie ban!! Waziri wa hovyo, ulikua wapi siku zote usitoe hiyo kauli hadi juzi ndio unakuja kuongea upupu!! Mlidhani atakufa!? Nyie si Mungu hata mmpange siku za uhai wa mtu!!

Tutazidi kuchangia matibabu ya Lissu, hizo hela kajengeeni ukuta Mererani au karudisheni rambirambi za kule Kagera!!!
 
Hivi unaposema hata Mh, Sitta alifata utaratibu huo swali ni je wakati mzee Sitta anaugua alikua anawadhifa upi ndani ya bunge? Kipi kinakufanya ulinganishe status ya Mh, Tundu lissu na Mzee Sitta? ili kuweka kumbu kumbu sawa Tundu lissu Ni mbunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Wakat Mzee sitta Ni retired speaker.
 
Sijui umekula maharage ya wap ww!! Hivi unajua rais mpaka nguo anazovaa inanunua serikali?? Sembuse akiumwa ? Ukiwa mtupu kichwan kaa kimya usije umbuka! Kwa taarifa yako chochote anachokifanya rais ni lazma kipitiwe na wana usalama. Mpaka kwenda chooon.
Kwakuwa yuko kwenye utaratibu asipofuata utaratibu hagharamiwi hiyo ndio point yangu naomba nieleweke kuwa taratibu lazima zifuatwe kabda kama we sio mtumish nitakuwa nakueleza kitu ambacho hukijui
 
Mategemeo yao yalikuwa kusubiri MHE tundu Antipas lissu afe.... Lakini mungu ni wa ajabu sana.... Hadi leo hii MHE lissu bado yupo hai.... Mpango wao umefeli, sasa wanataka kujikosha Eti kwa kutaka kumsaidia mgonjwa.... J

e, wamesahau kauli zao tata mjini DODOMA walipokuwa kwenye kikao cha dharura general hospital, na wao wakatia ngumu kumtibia MHE lissu??? Leo wameona kuwa MHE lissu ameanza ku recover, wameanza kutoa matamko ya ajabu ajabu.... Watuache watanzania na lissu wetu kwa kuwa mungu yu pamoja nasi....
 
Kwa kifupi serikali ndiyo iliyoomba sasa Tundu Lissu wamtibu. Hotuba ya Mbowe imesema alipigiwa simu Tarehe 19 Mbowe akakataa. Baada ya Mbowe kukataa hawakuipigia simu familia kama walivyompigia simu Mbowe, badala yake kesho yake Ummy akatangaza kwamba familia ikiomba watalipia matibabu.

Ukidanganya jua kutunza kumbukumbu.
 
Kwa kifupi serikali ndiyo iliyoomba sasa Tundu Lissu wamtibu. Hotuba ya Mbowe imesema alipigiwa simu Tarehe 19 Mbowe akakataa. Baada ya Mbowe kukataa hawakuipigia simu familia kama walivyompigia simu Mbowe, badala yake kesho yake Ummy akatangaza kwamba familia ikiomba watalipia matibabu.

Ukidanganya jua kutunza kumbukumbu.
Kwann baada ya wiki mbili kupita ndio watoe kauli ya kutaka kumtibia Muda wote walikuwa wapi kuyasema hayo walioyaongea jana je wamesahau kauli zao tata mjini DODOMA walipokuwa kwenye kikao cha dharura general hospital the liars should have good memories.... Buuuuu shiiit!!!!!
 
Mh Waziri nafikiri fanyeni kwa Busara bila kutaka kujiondoa kwenye lawama kwa nguvu. Mlipieni mgonjwa kwa sababu ni Mtanzania na yuko kwenye ajira ya Bunge. Anastahiki.

Haya mengine ya kuwa alijitoa kwenye mfumo wa serikali ni urasimu husio na maana. Angalau Mh Sitta Hakuwa mbunge au kwenye ajira yoyote ya serikali. Mnachofanya sasa mnauthibitishia ulimwengu kauli ya rais wetu aliyoitoa huko Ugunja akimulaumu Mh Shein kwa kumpeleka Maalimu Saif kwa matibabu. Msaidieni Rais haya mambo ili yeye ashughulike na mambo makubwa.

Mh Lissu hapo Dodoma Hakuwa katika hali ya kuamua chochote. Na ilikuwa Busara tu kuchukua maamuzi ambayo yangesaidia kuokoa uai wake unless hii haikuwa priority!
 
Kwa nini mnataka kujibu kila kitu?
Risasi 30+ na hakuna aliyekamatwa mpaka leo.Vidole vinaelekezwa kwa vyombo vya dola bado mnatoka na kutoa ufafanuzi kila kukicha.
Tupeni update ya upelelelezi mgonjwa ni "critical lakini stable!!!
Upelelezi utafanikiwa kivipi wakati yule shahidi muhimu mmemficha Nairobi? Eti yeye atautoa ushahidi huo kwa Scotland yard au FBI tu na siyo kwa wapelelezi wetu ambao hamna imani nao. Hivyo upelelezi mmeukwamisha wenyewe kwani serikali haiwezi kuruhusu wapelelezi wa kizungu nchini kwetu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom