Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,960
Not all Tanzanians, but rather all Tanzanians who are CCM membersThis is pathetic, I now believe all Tanzanian need to be rechecked if their mind works reasonablely
Not all Tanzanians, but rather all Tanzanians who are CCM membersThis is pathetic, I now believe all Tanzanian need to be rechecked if their mind works reasonablely
Wataonyeshea wapi wakati mnatumia nguvu kubwa hata kama mmechokwa na wananchiUkawa watashinda umeya, mkishapata umeya....onesheni mfano wa kiungozi ili mumrahisishie EL ashinde kirahisi asubuh na mapema 2020
Magu angekuwa mzalendo wa kweli angetaka UKAWA ichukue Umeya wa Dar ili iwe kazi rahisi kwake kupata pa kuanzia katika kuchukua hatua.1. UDA itawekwa wazi
2. Mabasi yaendayo kasi itakuwa ishu
3. Mabango watu watafungwa
4. Miradi ya jiji itakula gichwa vya watu
5. Treni ya Mwakyembe itawekwa wazi
6. Viwanja vya wazi jipu kuu
7. Etc
UKAWA ikichukuwa madaraka CCM itapata shida sana na hasa waliojipa viwanja vya wazi
Bora hata wanyama wasio na demokrasia wanaheshimu utawala waliojiwekea kuliko hii ngozi nyeusi laana tupu!
Haki ya mungu ni bora hata nimuombee shetani kuliko hawa watu!!
Waliosema kwenye "human evolution" kuwa tumetokana na "chimpanzee" nakubaliana nao kabisa ila naona bado hatuja-develop(mentally) kiasi cha kutosha na ndio maana tuko hivi.
Walisahau mafaili yenye data za kifisadi. Walikuwa na uhakika wa kurudi ofisini. Sasa wanataka wapige foul play moja tu hata kama ya wazi, wakae ofisini japo siku moja 'wasafishe ofisi' then wa-rest in pieces!Kuna tatizo gani umeya wa Dar es salaam ukienda Ukawa? Namba hazidanganyi ndugu zangu ukawa wako 87 ccm wako 76 sasa ccm mlisahau nini ofisi za umeya wa Dar es salaam?
Uzalendo wa kuigiza tu..ukisikia 'Baba' anasema atahakikisha mwanae ameshiba kabisa ndio ampe chakula mtoto wa kambo ambaye anaishi naye kama mwanae, basi hapo ujue hakuna baba. Ndiyo issue ya Magu ilivyo. Sasa hivi bado ni frenzy and 'ecstasy' ya majipu na pool...yakipoa hayo na pressure na challenges za maisha zikaanza kushika hatamu, rangi halisi za ngozi tutaziona, siyo hizi za pseudo-skin!Magu angekuwa mzalendo wa kweli angetaka UKAWA ichukue Umeya wa Dar ili iwe kazi rahisi kwake kupata pa kuanzia katika kuchukua hatua.
Basi weye ni Mzungu mwenye asili ya Gorrila. Kwa sababu za hasira zako za ushabiki wa siasa unatutukana watu.Bora hata wanyama wasio na demokrasia wanaheshimu utawala waliojiwekea kuliko hii ngozi nyeusi laana tupu!
Haki ya mungu ni bora hata nimuombee shetani kuliko hawa watu!!
Waliosema kwenye "human evolution" kuwa tumetokana na "chimpanzee" nakubaliana nao kabisa ila naona bado hatuja-develop(mentally) kiasi cha kutosha na ndio maana tuko hivi.
Ina maana waliotufundisha human evolution huko mashuleni walitufundisha matusi?Basi weye ni Mzungu mwenye asili ya Gorrila. Kwa sababu za hasira zako za ushabiki wa siasa unatutukana watu.
Kisa?
unamanisha,magufuli kesi yake,afanye upelelezi mwenyewe,ajikamate mwenyewe,ajihukumu na kujifunga mwenyewe?Nashangaa sana magufuli kukaa kimya wakati akijinadi kwamba ni mtoa haki na tuzidi kumuombea.sasavtutamuombeaje mtu ambaye hataki kuwajibika?UKAWA tunaposema hakuna mabadiliko ya kweli ndani ya ccm manyumbu ya lumumba yanakuja juu.
Namuamini sana mh.Rais ukiachana na chama chake, lakini akishindwa kutenda haki kwenye umeya wa Dar es salaam imani yangu kwake itapungua sana!