Umeya Dar: CCM waenda tena kortini

Umeya Dar: CCM waenda tena kortini

CCM imeenda tena mahakamani kuomba mahakama iruhusu wajumbe wake waruhusiwe kupiga kura ya kumchagua Meya wa Jiji.Wajumbe hao ni wale waliopigwa marufuku na msimamizi wa uchaguzi
Ni vigumu sana kwa chama kilichozoea kushinda. kikakubali kushindwa. ccm inahubiri kuheshimu demokrasia lakini yenyewe haitaki kuiheshimu hiyo demokrasia.
 
Eh Mungu najua unayaona haya na wewe No Mungu wa hali God of justice Make it real God
 
CCM imeenda tena mahakamani kuomba mahakama iruhusu wajumbe wake waruhusiwe kupiga kura ya kumchagua Meya wa Jiji.Wajumbe hao ni wale waliopigwa marufuku na msimamizi wa uchaguzi
Hata Chadema huenda mahakamani kutafuta haki hivyo siyo jambo la ajabu kwa CCM kwenda mahakamani!
 
Kama vipi wawape tu huo umeya .. Watatoa mtu roho sasa.. Mnadhani mahakama itasemaje? Wameshamseti hakimu hapo na lazima mahakama ikubali..
 
chama cha mazombie mkishindwa mahakamani nendeni kwa jecha
 
ngozi nyeusi ina shida sana,kuna haja ccm wakaangalia tena kama kuna tija ya kuwa na vyama vingi maana hawapo tayar kuachia ofisi pale wanaposhindwa
 
Du hii ni balaa tatizo wizi mkubwa umefanyika ktk Jiji hili
 
Halafu wanatulazimisha tumuelewe magufuli! Hatumuhitaji na hatumfagilii pia,
 
CCM imeenda tena mahakamani kuomba mahakama iruhusu wajumbe wake waruhusiwe kupiga kura ya kumchagua Meya wa Jiji.Wajumbe hao ni wale waliopigwa marufuku na msimamizi wa uchaguzi
unaambiwa ni aibu ! kwa mujibu wa Waitara inasemekana kesi hii imefunguliwa na marais wastaafu , japo hawakutajwa majina , bali wametanguliza mbele maboya yao ( wasira style ) ,

swali ni je wanaogopa nini ? mbona uongozi wao ulikuwa wa kutukuka ?
 
BORA YA SHETANI kuliko CCM,hivyi mnayoyafanya kwenye uchaguzi wa meya jiji la Dar CCM kweli mnahofu ya Mungu kweli kabisa bora kumuombea shetani kuliko kuombea CCM na viongozi wake.

Mkuu hebu acha kuchekesha, hivi hata baada ya maigizo ya Jecha bado tu hujawajua ccm? Hivi ulitegemea tofauti na hili?

Tatizo wananchi wa Tanzania ni kama mazombie tu ndiyo maana Hawa wahuni wanatupelekesha tu wanavyotaka. Tutaendelea kuburuzwa mpaka tutakapojitambua.
 
Bora hata wanyama wasio na demokrasia wanaheshimu utawala waliojiwekea kuliko hii ngozi nyeusi laana tupu!

Haki ya mungu ni bora hata nimuombee shetani kuliko hawa watu!!

Waliosema kwenye "human evolution" kuwa tumetokana na "chimpanzee" nakubaliana nao kabisa ila naona bado hatuja-develop(mentally) kiasi cha kutosha na ndio maana tuko hivi.
Duh, maelezo hayo yameningia mpaka kwenye misuli na mishipa ya fahamu.
Nadhani kisiasa bado tupo zama za mawe, yaani "stone age". Wenzetu wapo nyuklia age hivyo tuna gap 2
 
Ukishaingia selo ni lazima unyee ndoa tu. CCM washarogwa kila damu wanatamani kuionja hata kama si nyekundu. Hawa wana laana zao na hapo waziri wa TAMISEMI yako kimya utafikiri kwa sababu ni SIMBACHAWENE, huku kwingine si mahala pake.
 
CCM imeenda tena mahakamani kuomba mahakama iruhusu wajumbe wake waruhusiwe kupiga kura ya kumchagua Meya wa Jiji.Wajumbe hao ni wale waliopigwa marufuku na msimamizi wa uchaguzi
Naona Tanzania na dunia nzima inaaanza kumuelewa mh Lema . Watu walimsema sana lema Mara mabomu , maandamano ila sijaona yyte anayeiweza Ccm zaid ya lema .
 
Ccm wako tayari kwa lolote ili mradi upinzani usichukue hicho kiti cha umeya wa dsm maana bado wana muhitaji sana jk
Mkuuu wanawanyima wapinzan haki Yao wakiandamana kudai haki watasema wanafanya fujo jaman
 
Back
Top Bottom