Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Mkuu mh lema ni rais wa Arusha na ni kiboko wa ccm yoote kuanzia mkoa hadi taifaNaona Tanzania na dunia nzima inaaanza kumuelewa mh Lema . Watu walimsema sana lema Mara mabomu , maandamano ila sijaona yyte anayeiweza Ccm zaid ya lema .