Umeya Dar: CCM waenda tena kortini

Umeya Dar: CCM waenda tena kortini

Naona Tanzania na dunia nzima inaaanza kumuelewa mh Lema . Watu walimsema sana lema Mara mabomu , maandamano ila sijaona yyte anayeiweza Ccm zaid ya lema .
Mkuu mh lema ni rais wa Arusha na ni kiboko wa ccm yoote kuanzia mkoa hadi taifa
 
Huu sasa ni zaidi ya upumbavu,kwa nini kila siku wanaisumbua mahakama kwa mambo yao ya ushetani?
 
Jamani huu Umeya imekuwa mchezo wa kuigiza? Kila kukicha umeya tukiamka umeya! Mwishowe naona sasa waziri wa Serikali za Mitaa ambaye ni Rais anaweza kuamua kutumia rungu kama alilotumia Sumaye miaka ileee tukaona Tume ya Keenja!Dar ndio moyo wa nchi, haiwezi kukaa miezi mingi hivi bila Meya. Tusubiri tu Tume

Nakubaliana nawe Mkuu kuwa Dar ndio moyo wa Nchi,. Kwa sababu hii Raisi wetu Mpendwa ambaye ni Mwana CCM hataki kuwa chini ya UONGOZI wa UKAWA. Nilisha wahi kusikia akijiapiza hivi siku za karibuni. Kwa kuwa yeye ndiye Waziri wa TAMISEMI anawatuma CCM kufanya sarakasi za kuingilia uchaguzi huru usifanyike.
 
Kama CCM Wanaona, Hawataki Meya Wa Jiji La Dar, Atoke UKAWA Basi Waiagize NEC Ifute Matokeo Yote Ya Uchaguzi Na Watangaze Wa Marudio!!!!
Halafu wajaze polisi, wanajeshi, vifaru, mawashawasha mitaa yote ili washinde
 
Huku Arusha huwa tunamwombea: GOD Bless Lema.......na tunaitikia: Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen!
Mkuu lema kama ni ubunge aamue tu kuwachia ngazi,lkn kama anahitaji kuendelea nao basi atazeekea mjengoni
 
ukawa wanakomaa sana wapate umeya sijui wanataka kufanya nini yaani mpaka wanatishia amani ujue..
 
Ama nchi ina viroja hii wanaopaswa kushitakiwa wao ndio wanakuwa washitaki.
 
Chama Cha Mashetani kitatuletea vita watz hiki chama tukiepuke mapema.
 
Kuumbuka kupo palepale ni suala la muda tu, hii ni sawa na kudhani usiku utabaki milele kwamba hakuna mchana
Hivi kwani hakuna sheria za uchaguzi huu? Itakuaje kama watayumbishana mpaka uchaguzi mkuu ujao?
 
CCM aliyoianzisha Baba yetu mpendwa Mwalimu Nyerere imegeuka kuwa laana kwa Watanzania.

Mwalimu huko uliko, kama sauti yako inasikika kwa Muumba wetu kuliko sauti zetu, tunakuomba umfikishie maombi yetu kwa mwenye mamlaka yote mbinguni na Duniani, atuondolee laana hii iitwayo CCM. Tunaamini kwake hakuna kinachoshindikana.
 
kwetu kuna pango moja linaitwa Nyakagoma, ukiingia unaweza kutokea upande wa pili lakini njia ni ndogo. yaani kila anayeingia harudi mpaka apitilize. Wote mnatumia njia hiyohiyo......hakuna ugomvi hata ukiutaka labda mpaka mfike upande wa pili. Nyakagoma si moja!?
 
ukawa wanakomaa sana wapate umeya sijui wanataka kufanya nini yaani mpaka wanatishia amani ujue..
Mkuu siasa za nchi hii za ajabu sana hata Hawa CCM nao wanaweweseka nini kwani idadi ya wapiga kura inajulikani nani Na Nani wanatakiwa kupiga kura.
 
Back
Top Bottom