Nna hasira na hawa ccm, sasa mahakama imeamua vipi, halafu akina bulembo wanaona hi haki, yani mara hii hawa ccm na serikali ni ubabe manake wakifata sheria bado zinawabana, kama ilivyokuwa aliyezuia uchaguzi wa umeya mpaka sasa hajulikani, kila anayeulizwa anarusha mateke imekuwa kama kaa la moto, halishikiki, chawene hajasema lolote anajiuma uma, hao magwiji wa demokrasia akina bulembo kimya wakisubiri rough ndo waje kwa vyombo vya habari, jamani ccm mnatupeleka sipo kuna siku tutachoka, hivi kweli mnaenda misikitini na makanisani kusali, sidhani kama Mungu anapokea sala zenu na udhalimu huu mnaofanyia raia