Yohana Kilimba
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 8,105
- 5,635
sasa mkuu,mtumbuaji anapokuwa mtumbuliwa we unapata picha gani?ccm wakipoteza umeya maanake ile sifa ya magufuli na serikali kama watumbuaji itahamia ukawa,ambao kwa dar wana majipu mengi ya kutumbuaKumbe wamefanya ufisadi mkubwa namna hii! Watumbuliwe mara moja.