Mwanasayansi Kalivubha
Member
- Feb 4, 2024
- 67
- 206
UMEWAHI KUWA NA RAFIKI AMBAYE UKIONA TU SIMU YAKE UNAJUA NI YA SHIDA.
Taarifa mbaya kuhusu watu hao ni kuwa sio marafiki bali wanakutumia tu kwa maslahi yao mapana.
SIFA ZA WATU HAO
1.Wakiwa hawana shida wanapunguza ukaribu kwako tena wanakuwa bize hatari.
2.Wakikaribia mazingira ya kukuhitaji wanaanza kusogeza ukaribu kwako.
3.Wanajali zaidi shida zao kuliko zako.
4.Huwa hawapatikani kwako siku ukiwa na shida.
MAAMUZI MAGUMU DHIDI YA WATU HAO.
Ukishajiridhisha kuwa wanakutafuta wakiwa na shida tu basi usikubali kuacha ratiba zako kwa ajili yao ukifanya hivyo mara mbili watakulaumu sana na watasema umebadilika usiogope endeleza msimamo wako huo 😊
Taarifa mbaya kuhusu watu hao ni kuwa sio marafiki bali wanakutumia tu kwa maslahi yao mapana.
SIFA ZA WATU HAO
1.Wakiwa hawana shida wanapunguza ukaribu kwako tena wanakuwa bize hatari.
2.Wakikaribia mazingira ya kukuhitaji wanaanza kusogeza ukaribu kwako.
3.Wanajali zaidi shida zao kuliko zako.
4.Huwa hawapatikani kwako siku ukiwa na shida.
MAAMUZI MAGUMU DHIDI YA WATU HAO.
Ukishajiridhisha kuwa wanakutafuta wakiwa na shida tu basi usikubali kuacha ratiba zako kwa ajili yao ukifanya hivyo mara mbili watakulaumu sana na watasema umebadilika usiogope endeleza msimamo wako huo 😊