Umewahi kuwa dilemma?

Umewahi kuwa dilemma?

Mwanaume anampenda sana mwanamke, najua tu ipo siku atamsamehe. Hata hii ya kunilaumu naona tu ni anatafuta pa kutulizia machungu.
Wanaume huwa hatusamehi makosa hayo...huyu najua mmeshamlisha yakumlisha...
 
Unaangalia upande wako tuu ili uwe safe, usionekane mbaya!
Angalia moyo wa Frank anayeumizwa bila sababu huku nawe ukijua!
Wote ni rafiki zako, ndo maana ukamuonya Lulu vipi kuhusu Frank?!
Aliekosea ndie anaeonywa, Frank anaonywa kwa lipi?
 
Kwamba tulifahamiana kwenye kuchunga ng'ombe si ndio?
Hata mimi nimeachwa ujue
Wewe najua ka Lulu ulikaspy tu.... ili muendelee kuwa marafiki wa kufa na kupona na F F.
 
Wapo wanaosamehe n amaisha yanasonga. We kivuruge najua huwezi kusamehe.
Yaani mwanamke akinicheat sitakuwa naona sura yake nitakuwa naiona sura ya mwanaume aliyecheat naye.

Kweli unataka nidate mwanaume mwenzangu?
 
Back
Top Bottom