Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ewaaaaa...
Uombe kwa niaba ya auntie sio?
Nitamuelewesha Frank vizuri kabisaaa
Ewaaaaa...
Uombe kwa niaba ya auntie sio?
Wanaume huwa hatusamehi makosa hayo...huyu najua mmeshamlisha yakumlisha...Mwanaume anampenda sana mwanamke, najua tu ipo siku atamsamehe. Hata hii ya kunilaumu naona tu ni anatafuta pa kutulizia machungu.
Nilitaka nikuombe msamaha kwa kuachwa.Hahaha hahaha hahaha
Kumbe unamjua sana eeh..
Mimi sijaachwa kabisaaa superstar!
Hebu ukuje huku ulipo mlima mrefu kuliko yote Afrika kwanza babaaNipo mjini; umejificha wapi nije nikuone mama
Aliekosea ndie anaeonywa, Frank anaonywa kwa lipi?Unaangalia upande wako tuu ili uwe safe, usionekane mbaya!
Angalia moyo wa Frank anayeumizwa bila sababu huku nawe ukijua!
Wote ni rafiki zako, ndo maana ukamuonya Lulu vipi kuhusu Frank?!
Hahaha hahaha hahaha. Wewe umeachwa lini etiKwamba tulifahamiana kwenye kuchunga ng'ombe si ndio?
Hata mimi nimeachwa ujue![]()
Frank anapewa taarifa awe makini!Aliekosea ndie anaeonywa, Frank anaonywa kwa lipi?
Wewe najua ka Lulu ulikaspy tu.... ili muendelee kuwa marafiki wa kufa na kupona na F F.Kwamba tulifahamiana kwenye kuchunga ng'ombe si ndio?
Hata mimi nimeachwa ujue![]()
Mwenyewe auntie wangu
Tumbafu zenu.
aise" hauko na mtalii kweli uko mamaHebu ukuje huku ulipo mlima mrefu kuliko yote Afrika kwanza babaa
Hahaha hahaha hahahaaise" hauko na mtalii kweli uko mama
Yaani mwanamke akinicheat sitakuwa naona sura yake nitakuwa naiona sura ya mwanaume aliyecheat naye.Wapo wanaosamehe n amaisha yanasonga. We kivuruge najua huwezi kusamehe.
Hahaha hahaha hahahaSasa hivi![]()