Hahaaa....we ndo mana Frank anakuchukia hahaaa
Ngoja nimpe T kwanza.
Hahaha hahaha hahahaFrank kavurugwa sidhani hata humu kama ataingia hivi karibuni.
Wewe nawee...
T yuko wapi? Ngoja nimpigie vidio kolu.
Bora hata umwambieHahaaa....we ndo mana Frank anakuchukia hahaaa
Hahaha hahahaAna hata wa kuteka basii!!! atakuwa kajiteka mwenyewe.
Kutoa lawama kwa third party person ni immaturity, you have to own yo own mistakes. Mie niliwakutanisha, mambo mengine waliyaendeleza wenyewe. Naanzaje kuingia katikati?Kwanza kabisa mtu yoyote asikubali kuwa daraja la kuwaunganisha watu
Iwe mapenzi/Ndoa/biashara etc
Chochote kitakachotokea baina ya pande zote mbili lawama zitakua zako "kwanini ulituunganisha"
Siku ingine usirudie tena
nisije nafika mama simu ikawa aipatikaniHahaha hahaha hahaha
Hapana babaa, nipo peke angu mimi
Umeanza lini kutokuniamini eti?! Mie wa kukuzimia simu kweeeli?!nisije nafika mama simu ikawa aipatikani
nami nataka unikutanishe na SakayoKutoa lawama kwa third party person ni immaturity, you have to own yo own mistakes. Mie niliwakutanisha, mambo mengine waliyaendeleza wenyewe. Naanzaje kuingia katikati?
Kumbuka wakati nawakutanisha sikuwakutanisha kwa kuwaambia nataka wae wapenzi.
Sema tuu jamaniEti peke yako, niseme?
UwiiiiiHuyu atakuwa kajiteka mwenyewe alafu atafute kisingizio.