James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,199
- 15,552
Are you thinking what I was jokingly thinking enhe... hahaaa...
Are you thinking what I was jokingly thinking enhe... hahaaa...
Nimekuelewa vilivyo...tupeane muda.Are you thinking what I was jokingly thinking enhe... hahaaa...
Bora manake...duh...Frank hata akija atapiga kimya au ataishia PM ilakwa hurka za akina Lulu oangechimbika...
Mitandao imemshinda nishamshawishi sana ajiunge na JF kagoma. Yeye whatsapp tu kamaliza.
Akupe ushauri.Unamuita huyo kivuruge wa nini sasa. Atakuwa na hangover ya terabyte 5 maana jana alikuwa anakunywa gongo kuanzia saa2 hadi 8 ya usiku.
Hahaha hahahaSijui hata yuko wapi, Lulu ndio najua alipo.
Hivi yupo dunia hii kweeli?!Akupe ushauri.
Bora manake...duh...Frank hata akija atapiga kimya au ataishia PM ilakwa hurka za akina Lulu oangechimbika...
Are you thinking what I was jokingly thinking enhe... hahaaa...
Mkimaliza kutaniana na hizo codes mkuje kwa pm yangu upesi!Mwisho wa siku...tunaweza kumuona Lulu humuhumu ngoja tuendelee kusoma hahaaaaa(joking)
Basi yote yanawezekana...ngoja tusubiri....hahaaaa
Kuna uzi mmoja uliletwa na mwanamke humu alafu mwanaume akaja kulichimba. Hivyo hiyo hulka iko pande zote.
Sijui nani anamtekaYupo, jana nilimwona humu humu.
Sasa hivi tuu jamani..Umbea umeanza lini?
Khaaaa
Ngoja nimpe T kwanza.