Umewahi kuwa dilemma?

Umewahi kuwa dilemma?

Ila nawe kama ulikuwa una report report tuvitu ukaamua kumfichia shoga ako.

Ulinywe...maana utakuwa biased.

Kwamba nareport vitu vinavyohusu mahusiano yao?
 
Navyojua mie kuna shemeji halafu kuna rafiki na shemeji. Frank ni rafiki yako na shemeji yako!
Ungemwambia tuu kama rafiki, sasa hukumwambia inabidi umuombe msamaha hata kwa kujitetea!

Huyo Lulu sio rahisi tena kuwa rafiki yako akidhani ulimsaliti wakati huo huo anajua fika hakufanya sahihi. Kama ni mwelewa atajirudi akuombe msamaha!
 

Kwamba nareport vitu vinavyohusu mahusiano yao?
Utaenda kumweleza hapo juu....sasa haitaingia akilini umweleze ulimwachia mahusiano yake ilihali kumbe ulikuwa mfukunyuzi kila siku unamwambia hili na hili...atajiuliza mbona ulikuwa unachagua ya kumwambia?
 
Navyojua mie kuna shemeji halafu kuna rafiki na shemeji. Frank ni rafiki yako na shemeji yako!
Ungemwambia tuu kama rafiki, sasa hukumwambia inabidi umuombe msamaha hata kwa kujitetea!

Huyo Lulu sio rahisi tena kuwa rafiki yako akidhani ulimsaliti wakati huo huo anajua fika hakufanya sahihi. Kama ni mwelewa atajirudi akuombe msamaha!
Kumbuka Lulu nae ni rafiki yangu hivyo ningemwambia Frank ningekuwa nimemsaliti. Kazi yangu ilikuwa tu kumwambia kuwa anachofanya sio sahihi ila maamuzi ya kuacha yalikuwa juu yake.

It was not my place to intervene, maana hayakuwa mahusiano yangu.
 
Kumbuka Lulu nae ni rafiki yangu hivyo ningemwambia Frank ningekuwa nimemsaliti. Kazi yangu ilikuwa tu kumwambia kuwa anachofanya sio sahihi ila maamuzi ya kuacha yalikuwa juu yake.

It was not my place to intervene, maana hayakuwa mahusiano yangu.
Unaangalia upande wako tuu ili uwe safe, usionekane mbaya!
Angalia moyo wa Frank anayeumizwa bila sababu huku nawe ukijua!
Wote ni rafiki zako, ndo maana ukamuonya Lulu vipi kuhusu Frank?!
 
Back
Top Bottom