Huyu anaweza akawa anakamchezo kabaya na Frank.Hatafuti wa kumlaumu ukweli upo wazi, ulijua na hukumwambia!
Hapo inabidi ujirudi umuombe msamaha au uwapoteze wote wawili!!
Utaenda kumweleza hapo juu....sasa haitaingia akilini umweleze ulimwachia mahusiano yake ilihali kumbe ulikuwa mfukunyuzi kila siku unamwambia hili na hili...atajiuliza mbona ulikuwa unachagua ya kumwambia?
Kwamba nareport vitu vinavyohusu mahusiano yao?![]()
Hahaha hahaha hahaha
Baba yako hataki stress zisizo na msingi.
Tema mate chini...hutaki kumpindua Lulu.
Kamchezo gani?
Superstar umeanza lini kuhisi codesHuyu anaweza akawa anakamchezo kabaya na Frank.
Kumbuka Lulu nae ni rafiki yangu hivyo ningemwambia Frank ningekuwa nimemsaliti. Kazi yangu ilikuwa tu kumwambia kuwa anachofanya sio sahihi ila maamuzi ya kuacha yalikuwa juu yake.Navyojua mie kuna shemeji halafu kuna rafiki na shemeji. Frank ni rafiki yako na shemeji yako!
Ungemwambia tuu kama rafiki, sasa hukumwambia inabidi umuombe msamaha hata kwa kujitetea!
Huyo Lulu sio rahisi tena kuwa rafiki yako akidhani ulimsaliti wakati huo huo anajua fika hakufanya sahihi. Kama ni mwelewa atajirudi akuombe msamaha!
Nipe namba zake hebu...
Niombe msamaha, aiseee!!!!!!!

You cant be serious.
Superstar espy hatujafahamiana PM..namjua.Superstar umeanza lini kuhisi codes
Nipo mjini; umejificha wapi nije nikuone mamaBabaa
Unaangalia upande wako tuu ili uwe safe, usionekane mbaya!Kumbuka Lulu nae ni rafiki yangu hivyo ningemwambia Frank ningekuwa nimemsaliti. Kazi yangu ilikuwa tu kumwambia kuwa anachofanya sio sahihi ila maamuzi ya kuacha yalikuwa juu yake.
It was not my place to intervene, maana hayakuwa mahusiano yangu.
Hahaha hahaha hahahaSuperstar espy hatujafahamiana PM..namjua.
Wewe haujaachwa superstar?