NakaziaNext time uache kazi ya kuwadi.. ni mzigo wa lawama for sometime
Nimeelezea sana, anachodai yeye ni kuwa kama rafiki yake nilipaswa kumueleza no matter whatmwambie frank kuwa ni kweli ulijua ila hukupenda kuwa chanzo cha wenyewe kugombana huyo lulu muda ukifika atajua tu kuwa sio wewe uliyemwambia frank



and topic is closedwadelete wote, anza upya wasikuchoshe
ova ova ova ova ova ova ova ova ova and ovaWakutanishe wote waambie mnabichanganya na mambo yenu msinisumbue
Hahahaaaa.Watukane woote halafu uwablock kila sehemu hadi mpesa..
Taabu zao hawawezi kukusumbua
Mwambie Avatar nazipenda..Ni za avatar sio zangu.
Yes, ndio hivyo.