Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,578
Mimi niliwahi kusikia madereva wa malori wanaoenda nchi jirani kuna muda wanasahau kama wapo safarini, kutokana na changamoto mbalimbali za njiani kama mipakani nk
Naskia wamatembea na majiko yao kabisa pia wakiwa na unga, vitunguu, mboga, nyanya yaani wakifika mahali wanashuka wanakaa wanapika ili wale waendelee na safari, hakuna kwenda hotelini.
Wewe uliwahi kusikia nini kuhusu hawa jamaa?
Naskia wamatembea na majiko yao kabisa pia wakiwa na unga, vitunguu, mboga, nyanya yaani wakifika mahali wanashuka wanakaa wanapika ili wale waendelee na safari, hakuna kwenda hotelini.
Wewe uliwahi kusikia nini kuhusu hawa jamaa?