Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,615
- 3,117
Hilo ni jeraha la ndani huwez mponya Kwa vitu vya nje. Kila dhambi Ina gharama yake ya kulipa.
Jipangie ratiba, ya kuomba na kufunga kumuombea Mungu amponye huo Moyo ili akae sawa.
Tena sio tu kumuombea akae sawa, uombe Toba Kwa Mungu Kwa kuruhusu uovu ukapita hapo, na umebomoa nyumba yako Kwa mikono yako, hakikisha unaomba Toba vizuri,
Cz wewe umesababisha wewe usimtafute shetan hapo,
Sijui Mungu atakujibu lini, ila atakujibu, hiyo iwe ni agenda yako ya maombi Hadi uone matokeo Kwa Macho.
Usikemee shetan na tayar ulimpa uhalali wa kuingia ktk ndoa. Omba Toba Ili Mungu akusaidie.
Sababu unaweza fanya yote, moyo wa binadamu kaumba Mungu, na yeye ndiye anaweza kuufinyanga tena. Huwez mbadilisha Kwa akil zako huyo mumeo.
Usitegemee uombe siku Moja ukaacha, ugonjwa unaingia Mara moja lakini dawa inafany kazi Kwa siku kadhaa, inategemea na aina ya ugonjwa
Jipangie ratiba, ya kuomba na kufunga kumuombea Mungu amponye huo Moyo ili akae sawa.
Tena sio tu kumuombea akae sawa, uombe Toba Kwa Mungu Kwa kuruhusu uovu ukapita hapo, na umebomoa nyumba yako Kwa mikono yako, hakikisha unaomba Toba vizuri,
Cz wewe umesababisha wewe usimtafute shetan hapo,
Sijui Mungu atakujibu lini, ila atakujibu, hiyo iwe ni agenda yako ya maombi Hadi uone matokeo Kwa Macho.
Usikemee shetan na tayar ulimpa uhalali wa kuingia ktk ndoa. Omba Toba Ili Mungu akusaidie.
Sababu unaweza fanya yote, moyo wa binadamu kaumba Mungu, na yeye ndiye anaweza kuufinyanga tena. Huwez mbadilisha Kwa akil zako huyo mumeo.
Usitegemee uombe siku Moja ukaacha, ugonjwa unaingia Mara moja lakini dawa inafany kazi Kwa siku kadhaa, inategemea na aina ya ugonjwa