masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,762
- 16,597
Nipo aisee hayo maswali ya section c yamenivunja mbavu
hahaa ila naogopa dengua honey
Nipo aisee hayo maswali ya section c yamenivunja mbavu
hahaa ila naogopa dengua honey
bien, laissez-moi aller en enfer ...mais c'était une blague , ne prennent pas au sérieux moi !
Hii inanikumbusha kuna siku kwenye daladala kuna jamaa nasmikia anaongea na simu kwa sauti eti anamuuliza mpenzi wake,
"nipo kwenye daladala ndo narudi nyumbani vipi umepika nini?"
"Unafanya nini?"
"Umevaa chupi rangi gani?"
Kwa kweli alipofika kwenye rangi ya kufuli hakuna aliyeweza kujizuia kwa sisi tuliyekuwa karibu nae, wote tulianza kucheka halafu kama tuliambiana tulicheka wote kwa pamoja.
Kuna watu makauzu sana
Nafikiri kwa wahusika ni kuonyesha namna gani wanajali, labda kuwe na lingine ambalo mimi na wewe hatulifahamuKhaaa huyo nae alizidi wenzie maswali km hayo wanaulizia vyumbani. Af mi nashindwa kuelewa mtu akijua ulichovaa itamsaidia nini
Kwani rangi ya chupi.... inawasisimua eeeeh... eti wanaume hebu nijuzeniiiiHii inanikumbusha kuna siku kwenye daladala kuna jamaa nasmikia anaongea na simu kwa sauti eti anamuuliza mpenzi wake,
"nipo kwenye daladala ndo narudi nyumbani vipi umepika nini?"
"Unafanya nini?"
"Umevaa chupi rangi gani?
Kwa kweli alipofika kwenye rangi ya kufuli hakuna aliyeweza kujizuia kwa sisi tuliyekuwa karibu nae, wote tulianza kucheka halafu kama tuliambiana tulicheka wote kwa pamoja.
Kuna watu makauzu sana
Nafikiri kwa wahusika ni kuonyesha namna gani wanajali, labda kuwe na lingine ambalo mimi na wewe hatulifahamu
Mkuu watu tunatofautiana ndo maana nikasema kwa wahusika(wenye tabia hizo)Rubbish....unajali kwa kuuliza nimevaa nini..!!
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?
Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii. Baadhi ya wanaume mpoje, yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini?
Ongeeni mambo ya msingi bwana kama huna its better usipige simu
looh ni hilo tu umechukia
sisi tunaambiwaga ndani ya nguo kuna nini??
EMBU ISHIKE ISALIMIE
ingekuwa wewe si ungepasua sim