Umevaaje

Umevaaje

nathani inategemea na mazoea yenu huko nyuma...! mtu hawezi kutoka huko atokako ivi ivi akakuliza umevaaje??...
nathani maongezi baina yenu lazima yawe na ukomo na ukomo unatengenezwa either na wewe au huyo...
May be UMEVAAJE ndo jambo la msingi kwako!!! Muhimu ni kuwa mwaz na kuweka ukomo!!!ukimchekea tu....hahahaha umekwisha.
 
Mieee napenda kuulizwa hvoo...lol tuko tofauti aiseee!pole kwa yaliyokukuta maana umetokwa povuu
 
Baby utajenga nyumba lini...lini utaolewaaa...utapandishiwa mshahara lini? ...likizo utachukua lini..MIe Christmas ntaenda kula uchaggani Je wewe?

Haya ndo maswali uyapendayo????????? naulizaaaaaaaaa

Excuse me..... mimi si mchaga
 
Mbona nyie ya umekula,unafanya nini na uko na nani hatusemi wewe hilo moja tu la umevaaje linakukwaza then it was simple ni kumwambia tu muhusika kuwa hilo swali linakukwaza,kwa kulileta humu hata kama muhusika yuko humu inaonyesha ni kiasi gani haujiamini na hauwezi kumface mtu kumwambia linalokukera,unaweza ukawa umelileta humu kwa lengo la kuwaasa wenye tabia hiyo ukifikiri wanawake wote hawapendi kumbe wengine wanapenda kuulizwa hivyo.
 
Mbona nyie ya umekula,unafanya nini na uko na nani hatusemi wewe hilo moja tu la umevaaje linakukwaza then it was simple ni kumwambia tu muhusika kuwa hilo swali linakukwaza,kwa kulileta humu hata kama muhusika yuko humu inaonyesha ni kiasi gani haujiamini na hauwezi kumface mtu kumwambia linalokukera,unaweza ukawa umelileta humu kwa lengo la kuwaasa wenye tabia hiyo ukifikiri wanawake wote hawapendi kumbe wengine wanapenda kuulizwa hivyo.
Natumaini hakuna mwanamke anayependa kuulizwa swali hilo na mtu ambaye si mpenz wake
 
waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba nyie mnajuana na ndio maswali yenu hayo mnaulizana deile leo iweje umchane mwenzio?muambie tu aridhike either umevaa white au green night dress
 
waarabu wa pemba hujuana kwa vilemba nyie mnajuana na ndio maswali yenu hayo mnaulizana deile leo iweje umchane mwenzio?muambie tu aridhike either umevaa white au green night dress

Karibu MMU.. Mr mgeni
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom