Haaaa haaaaa daaah nimecheka kweli
Haaaa haaaaa haaaaa..... kha! mbona ningepasua simu nimtoe
Price umevaaje leo dear???Tena nasema sipendi na sitaki.... msione nawanyamazia na kukata simu... sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu Usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje....he! itakusaidia nini wewe... am i your Girlfriend!! Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku haikusaidii...... Baadhi ya wanaume mpoje! yani hadi ujue Msichana au Mwanamke usiku anavaa nini.... ongeeni mambo ya msing bhana ka ma huna ts better usicall
haaaaaaa! you made my day.. nimecheka sanalooh ni hilo tu umechukia
sisi tunaambiwaga ndani ya nguo kuna nini??
EMBU ISHIKE ISALIMIE
ingekuwa wewe si ungepasua sim
Aku! mi nimpe namba namjua...! jitu sijui linatoa wapi namba yangu
Akikuuliza tena mwambie sijavaa njoo univalishe.
hahahaha! Jumanne ya leo nzuri. miss chagga kakasirika kuambiwa I love you wkt mwenyewe alikuwa anataka waongee mambo ya uchumi, Price kakasirika kuulizwa amevaaje.haaaaaaa! you made my day.. nimecheka sana
Hizi namba mnazotoa kweny magroup ya whatsapp .....
Mtaulizwa hadi maswali ya section C.
looh ni hilo tu umechukia
sisi tunaambiwaga ndani ya nguo kuna nini??
EMBU ISHIKE ISALIMIE
ingekuwa wewe si ungepasua sim
haaaaaaa! you made my day.. nimecheka sana