Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,097
- 41,712
Thubutuuuu😂😂😂 ngozi imefubaa hii, nyie wakaree buana anayekataa anye boga
Hebu mchrki huyo mkuu anataka Kwa kupumzikia 🤣
Thubutuuuu😂😂😂 ngozi imefubaa hii, nyie wakaree buana anayekataa anye boga
Sasa ruhusu nilale ila zile za suruali mkasi sana zile foto zile Pm tu[emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125] Maokoto
Huyo shemeji mwenyewe naona hbr nyingi napojitosa kwanza nikutame na risasi macho kwa macho tu
Kwakweli zile pm tuSasa ruhusu nilale ila zile za suruali mkasi sana zile foto zile Pm tu
Kwakweli jmn kesho nayo sikuWapendwa karibuni tusali tulale 🙏
Kesho nayo ni siku, damu ya Yesu itulinde tulale na kuamka salama. Amen
Amen🙏🫂Kwakweli jmn kesho nayo siku
Damu ya Yesu iwalinde
Mambo mengi. Sema Moro sina kampani kabisaaa hiyo kesho. Au basi..Kwakweli zile pm tu
Kalale tu
Kesho nayo siku[emoji1787][emoji1787]
Karibu mySinywi kinywaji chochote mie, ntakua natazama movie, au km una Pad nacheza PS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanahenya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu huyu ni lekchara wangu.Umeanza kuomba muongozo udugu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kipiii?? [emoji23][emoji23][emoji23]Hivi katika hiki kinyanganyiro unakosa kwer[emoji1]
Sio Assignment bhana.Karibu ila sio assignment[emoji28]
Nakuja mtaniii wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu my
Nakusubiri mtani wangu 😋🤣Nakuja mtaniii wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusemezane kolo na uto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujaaNakusubiri mtani wangu [emoji39][emoji1787]
❤️❤️[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakujaa
Sio Assignment bhana.
Joho nishavaa, na picha zishatanda ukungu.
Ni kitu kingine tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ya graduu hukuwepo maeneo?
Salama. Tayana-wog anayoYako ikwapi kwanza!!
Habare za tangu jana!