Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

shipa la babu miga uliwahi ona wapiii? Una kilanga weeyeee, ngoja aje.
😂😂😂😂 Babu miga nimemmiss na fake reports zake!!! E’m babu miga njoo bhana utuchangamshe kidogo wajukuu zako tumekumiss 🤣🤣
 
Kwahiyo unamuibia Tayana-wog danga lake mchana kweupe?!!
Coca juzi tyuu tumetoka kusuluhisha ndoa yako na Mjep leo umesahau km ulitaka kujirusha ghorofani ulivyoachwa?!!
Tamaa hizo za pesa
Weee tulia kizuri kula na rafiki. Huyu nibrafiki wa Tayana-wag. Ameniruhusu
 
wee mie simuibii, mie si mpambe wa mama mtumishi jamani, wee si ndo mshika pochiii?

Uduguuu nampenda Mjep wangu
Wewe unamponda mama mtumishi ili ujiweke 🤣🤣🤣 nimeona unasema eti kifuniko kimezibuliwa na wahuni cha mama mtumishi!!
Na tajiri naye kahamisha majeshi kaanza kufolu lavu kwako 😜
Nyie hili pic nalifatilia kwa makini hapa mjue?!!
 
Wewe unamponda mama mtumishi ili ujiweke 🤣🤣🤣 nimeona unasema eti kifuniko kimezibuliwa na wahuni cha mama mtumishi!!
Na tajiri naye kahamisha majeshi kaanza kufolu lavu kwako 😜
Nyie hili pic nalifatilia kwa makini hapa mjue?!!
Sema wewe ,kumbe umemuona ehh🤣🤣
Ngoja tu si ananichukulia poa shost coca🤣
 
Boom💥
 

Attachments

  • Screenshot_20231118-141234_Instagram.jpg
    Screenshot_20231118-141234_Instagram.jpg
    127.5 KB · Views: 11

Similar Discussions

Back
Top Bottom