Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
wewe ni lizuri sana mi nakusubiria simbo tu hapaUmeanza kunijaza mnywanii jf nzima unaijua wee mfyuuu!
Do the needful nirare vizureee kwanza nina usingizi kama wote hapaa;
wewe ni lizuri sana mi nakusubiria simbo tu hapaUmeanza kunijaza mnywanii jf nzima unaijua wee mfyuuu!
Do the needful nirare vizureee kwanza nina usingizi kama wote hapaa;
Sinywi kinywaji chochote mie, ntakua natazama movie, au km una Pad nacheza PSKaribu tunywe bia paka asubuhi
Zaidi ya hatareeeee yani!Usinambieee??![]()
Mmalizie na Gwami 😂😂😂Had GM uduguuu![]()
Nili fanyaje 😄 hadi nimedinda kweli
Holiday holla,.@Mjep hata kusikia naomba chochote hatakiii.Muda mchache holiday iko karibu![]()





Chino wana man mwenyewe 😍maana ban yako inamtesa sana chino
Unazingua kutublesNili fanyaje 😄 hadi nimedinda kweli
Wa moto ana 4 pack afu yupo km Jux
Ukimuona utajipeleka piem mwenyewe kuomba usajili![]()



hebu sema kweliii, nimfate PM sasa hivi😂😂😂😂 Uza BMW yake asikutanieHoliday holla,.@Mjep hata kusikia naomba chochote hatakiii.![]()
Wewe nenda hutojutia 😂😂😂hebu sema kweliii, nimfate PM sasa hivi
na mi-raaangeee




umesahau akianza kupost mi JEEP yaan utadhani ni billionaire wa Vigwaza.Weee mnywanii unamjaza uongo tu mwenziosasa usiombe ageuke na hicho kinguo
Ndo ukweli shost nomaaaMnanirushaa roho balaaa,![]()
Ah kudadadeki Kapachino mambo iko huku 🔥🔥🔥🔥 melo ana watoto aiseeeKesho nayo siku jmn🤣🤣🏃🏃
Mmalizie na Gwami
Msisahau kutupa connection




connection tunafanyia wazi wazi pale korido za KAHUMBA.😂😂😂 na wale warembo wa kugugoumesahau akianza kupost mi JEEP yaan utadhani ni billionaire wa Vigwaza.
Woiiiiih
haha jf ingekuwa ngumu sanaChino wana man mwenyewe 😍