Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

usinambie?!!
Pole udugu me ndiomana nilikuwa mkali ss hivi na me ningekuwa juu ya mawe na wale mashankupe waliokuwa wanamnyapia shem wako
Mjep hana jipya mume wangu, ndo maana hata JF hataki kuingia, anapata machungu tyuuuh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom