Umesoma vitabu gani mwaka 2017?

Umesoma vitabu gani mwaka 2017?

Asante mkuu,mwaka wangu laIma utakuwa na mabadiliko +
Pamoja sana mkuu, baadhi ya channel ni kama hiyo ya kwanza na hizo mbili za mwisho hapo
f05e5232d621fe1354aafbc5331df432.jpg
 
I have idea kwa nini tusi unde group la Whatsapp liwe kama club ya usomaji vitabu
Hilo group la pili kutoka mwisho ni group la wanajamiiForum, humo utapata vitabu vingi na kupeana updates juu ya usomaji, unachotakiwa kufanya ni kujiunga na telegram.
 
1.The alchemist.
2. Mindset
3. 7habits of highly effective families
4. Obstacle is the way
5. As a man thinketh
6. Thinking fast and slow
7. The one thing.
8. The 4-hour workweek.
9. Critical thinking.
10. 13 things mentally strong people don't do.
11. How to influence people.
12. The subtle art of not giving a ****.
13. No excuses.
14. Mastery
15. The way of a superior man
16. Man's search for meaning.
17. Pridictably irrational
18. How to analyze people
19. Alice in wonderland
20. The slight edge.
21. Cash flow quadrant.
22. Long Walk to freedom (Nelson Mandela ).hiki ndiyo cha mwisho sasa niko page ya 250 out of 750....

Nawashauri ndugu zangu tusome vitabu,faida zake ni kubwa sana kuliko tunavyodhani.
Mkuu unaweza kuwa na softcopy ya HIGH PERFOMANCE HABIT by BRENDON BURCHARD
 
Hilo group la pili kutoka mwisho ni group la wanajamiiForum, humo utapata vitabu vingi na kupeana updates juu ya usomaji, unachotakiwa kufanya ni kujiunga na telegram.

Kwasisi tusiotumia Tele hatuna msaada!
By the way, thread hii imeniamsha. Mwaka 2017 naweza kuwa sijasoma kitabu chochote maana nilidhani niko busy sana, lakini 2016 nilisoma vitabu kadhaa.
 
Kwasisi tusiotumia Tele hatuna msaada!
By the way, thread hii imeniamsha. Mwaka 2017 naweza kuwa sijasoma kitabu chochote maana nilidhani niko busy sana, lakini 2016 nilisoma vitabu kadhaa.
Pole sana mkuu,naomba jitahidi uidownload telegram iko Google play store, wala haina process nyingi... Ni kama WhatsApp tu.
 
Pole sana mkuu,naomba jitahidi uidownload telegram iko Google play store, wala haina process nyingi... Ni kama WhatsApp tu.

Asante, nitajitahidi. Japo niliipakua miaka miwili iliyopita nikajikuta haijanivutia kubaki nayo. Hamna namna nyingine ya kupata vitabu hasa kwa iOS user.
Na pia wazo la whatsapp sio baya kwa kubadilishana uzoefu
 
Asante, nitajitahidi. Japo niliipakua miaka miwili iliyopita nikajikuta haijanivutia kubaki nayo. Hamna namna nyingine ya kupata vitabu hasa kwa iOS user.
Na pia wazo la whatsapp sio baya kwa kubadilishana uzoefu
Kwa ios sifahamu mkuu,kuhusu WhatsApp group watu wengi wanaogopa sababu huko hakuna privacy sana kaama telegram
 
Mmmh ni kweli kusoma vitabu kunafsida, kwanza unasisimka unapopata kitabu kipya Kwaajir ya shahuku kujua yaliyomo pia unaenjoy unaposoma.unapanua ufahamu pia lkn nadhani kutumia muda mrefu mno kusoma tu badala ya kuwa na muda kutumia ufahamu uloupata... mmmh nisawa na kuishi kwa nadharia tu badala ya vitendo.
Sioni kama ni sifa kusoma vitabu kibao ili Uwe kinara wa mijadala flaniflan tu...
Samahan kwa kunatisha fikra zangu kwenye ujumbe wako
 
Back
Top Bottom