Umesoma vitabu gani mwaka 2017?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
habari wakuu? ni mwisho wa mwaka na wakati wa kujitathmini kuhusu usomaji wetu wa vitabu wa mwaka mzima.

kwa upande wangu mwaka huu haukuwa mzuri kiusomaji wa vitabu. nilikuwa na project ya kuandika na kutafiti ambayo mpaka sasa sijaimaliza. nilifanikiwa kusoma kitabu kimoja tu na vingine viwili huwa navipitiapitia mara kwa mara kama reference.

1.The Rogue Lawyer cha john Grisham.
Hii ni Novel nzuri sana ya sheria, inamhusu mwanasheria amabaye alikuwa anatetea washtakiwa wa kesi za hatarihatari na ambayo wanasheria wengine hawataki kuzigusa. mara nyingi kesi hizi zilikuwa zinamtia matatizoni. ni kizuri sana, kama movie vile, kinasema somaga tu.
ROGUE-LAWYER-3D-1.png

2. Vingine ambavyo huwa napitia mara kwa mara ni Lets play checkers na how to win at checkers. mi ni mpenzi wa drafti hivyo huwa naangaliaangalia namna ya kucheza kwenye hivyo vitabu. kama wewe ni mpenzi wa drafti vitafute vitakufaa sana.
9780679140191-us-300.jpg
51NRZS8YNZL._SY344_BO1,204,203,200_.jpg

wewe umesoma vitabu gani mwaka 2017? share nasi. Malcom Lumumba , MSEZA MKULU et al.
 
Mkuu Hicho Kitabu No 2 Nimekipenda , Naweza Kukipata Online? ,, Namimi Napenda Sana Drafti Ila Sikujua Kama Kuna Kitabu Chake
 
Grisham sijswahi ona novel yake isiyo ya sheria.

Mkuu kama upo Dar naomba nifanye kuvolunteer kwenye project unayofanya.
Nataka kupanua cv yangu kwa kuingia field.
 
Mkuu Hicho Kitabu No 2 Nimekipenda , Naweza Kukipata Online? ,, Namimi Napenda Sana Drafti Ila Sikujua Kama Kuna Kitabu Chake
Vipo online vyote viwili. Hicho lets play checker na hicho how to win at checker.
 
Sipo dar m
Grisham sijswahi ona novel yake isiyo ya sheria.

Mkuu kama upo Dar naomba nifanye kuvolunteer kwenye project unayofanya.
Nataka kupanua cv yangu kwa kuingia field.
Sipo dar mkuu.
 
1.The alchemist.
2. Mindset
3. 7habits of highly effective families
4. Obstacle is the way
5. As a man thinketh
6. Thinking fast and slow
7. The one thing.
8. The 4-hour workweek.
9. Critical thinking.
10.13 things mentally strong people don't do.
11. How to influence people.
12. The subtle art of not giving a https://jamii.app/JFUserGuide.
13. No excuses.
14. Mastery
15. The way of a superior man
16. Man's search for meaning.
17. Pridictably irrational
18. How to analyze people
19. Alice in wonderland
20. The slight edge.
21. Cash flow quadrant.
22. Long Walk to freedom (Nelson Mandela ).hiki ndiyo cha mwisho sasa niko page ya 250 out of 750....

Nawashauri ndugu zangu tusome vitabu,faida zake ni kubwa sana kuliko tunavyodhani.
 
1.The alchemist.
2. Mindset
3. 7habits of highly effective families
4. Obstacle is the way
5. As a man thinketh
6. Thinking fast and slow
7. The one thing.
8. The 4-hour workweek.
9. Critical thinking.
10. 13 things mentally strong people don't do.
11. How to influence people.
12. The subtle art of not giving a ****.
13. No excuses.
14. Mastery
15. The way of a superior man
16. Man's search for meaning.
17. Pridictably irrational
18. How to analyze people
19. Alice in wonderland
20. The slight edge.
21. Cash flow quadrant.
22. Long Walk of freedom n.k....

Nawashauri ndugu zangu tusome vitabu,faida zake ni kubwa sana kuliko tunavyodhani.

what the hell with "the alchemist"

kila napoanza kukisoma nakiacha kwa yale majivuno ya mwandishi page za mwanzoni-


8d87c2130f3ec9775f37db6d40fc84b2.jpg
 
lengo kuu zaidi anataka kuelezea kuhusu nini mbeleni??...nilipenda rating zake inaonekana ni kitabu maarufu
In short anaelezea mambo ya kutokukata tamaa na kufuata kile kitu ambacho moyo wako unataka....
 
1:Quran
2:swahih bukhary
3:swahih Muslim
4:Al uswul thalatha
5:qawaidu al arbaa
6:Al uswul sitta
7:Tatwhiru al iitiqad
8:Durru nnadhwiid
9:Riyaadh swalihiin
10:kashfu - shubuhat
11:fat'hu al bari (ibnu Rajab)
12: fat'hu al bari (ibnu hajar)
13:Masailu al jahiria
14:Maana twaaghut
15:zaadul maad (ibnul qayyim rahimahu llah)
16:Maandhwumat haaiyah
17:Maandhwumat laamiyyah
18:Maandhwumat bayquniyyah
19:kitab tawheed
20:Hadhihi daawatuna wa aqidatuna
 
1.The alchemist.
2. Mindset
3. 7habits of highly effective families
4. Obstacle is the way
5. As a man thinketh
6. Thinking fast and slow
7. The one thing.
8. The 4-hour workweek.
9. Critical thinking.
10. 13 things mentally strong people don't do.
11. How to influence people.
12. The subtle art of not giving a ****.
13. No excuses.
14. Mastery
15. The way of a superior man
16. Man's search for meaning.
17. Pridictably irrational
18. How to analyze people
19. Alice in wonderland
20. The slight edge.
21. Cash flow quadrant.
22. Long Walk to freedom (Nelson Mandela ).hiki ndiyo cha mwisho sasa niko page ya 250 out of 750....

Nawashauri ndugu zangu tusome vitabu,faida zake ni kubwa sana kuliko tunavyodhani.
Ndugu kama hutojali naomba kujua spidi ya usomaji wako na ratiba yako ya usomaji pia.
Naweza nami nikaambulia kitu.
 
Ndugu kama hutojali naomba kujua spidi ya usomaji wako na ratiba yako ya usomaji pia.
Naweza nami nikaambulia kitu.
Kwanza kwenye usomaji wa vitabu lazima ujue aina za vitabu unavyovipenda mfano mimi vitabu vya love stories siwezi kabisa kusoma hata page kumi napoteza mood,Pili kama ndiyo unaanza kusoma vitabu lazima speed yako itakuwa ndogo tofauti na yule aliyezoea lakini ukianza kuzoea speed itakuwa vizuri tu, pia unatakiwa ufanye usomaji wa vitabu kama hobby nyingine kama mziki,swimming, au kucheza mpira yani kiasi kwamba usiposoma kitabu unahisi kabisa leo kuna kitu kimemiss, ni kawaida siku za mwanzo utakuwa unajilazimisha kiasi kama ndio unaanza usomaji lakini ukishasoma kama vitabu viwili au vitatu tayari itakuwa imeingia kwenye damu.
Mwisho ukiwa na mazoea ya kusoma vitabu unaweza kusoma sehemu yeyote ukipata upenyo mfano, kwenye gari ukiwa unaenda kazini, ukiwa unasubiri foleni bank, ukiwa unasubiri chakula,kazini muda wa break etc.
Mfano mimi nikiamka lazima nisome atleast 10 pages, kabla ya kulala,na weekend ndio nasoma sana.
Sometimes kubeba kitabu kila mahali inachosha, kitu cha msingi tumia simu yako kama library, siku hizi zipo soft copy kibao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom