Hapo kwenye kumrushia fimbo ndipo ulipofeli ila sa umesema ulikuwa darasa la 5 mi nlikuwa na mfuata namchapa hadi namuua.
Ngoja kinupe kisa kimoja......
siku moja tumetoka kanisani mida ya saa saba mchana, tumekaa nje kusikilizia msosi nje kulikuwa na karundo kadogo ka matofali ya kuchoma sina hili wala lile nimekaa jirani kabisa na hayo matofali kuja kuhamaki nyoka mreefu wa rangi ya kijivu kilichokolea akamkosakosa kuku yupo kwenye yake matofali nikachukua fimbo ngumu nikaanza kuoangua tofali moja baada ya jingine nikamuona nlichofanya sikumpiga nikamminya kichwa na ile fimbo kisha nikamshika shingoni jirani kabisa na kichwa kumuinua nalingana nae urefu, maza kuona alipiga ukunga hadi majirani wakajaa



anyways kukamata nyoka nlifunzwa na wachina maana nlikulia kambi ya jeshi ambapo wachina waliishi jirani kama wakufunzi wa ndegevita. Nlikuwa form3