Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,106
- 122,492
Swahiba Mgagaa na Upwa hivi hizi sare sare zetu zinatosha kweli au bado kuna wengine wa uzeeni? 😅😅
Hahahaaa!Ndugu zake mama, kwasababu baba hana uhakika kama ni wa kwake
Swahiba tosha yan tosha kabisa swahiba 😀Swahiba Mgagaa na Upwa hivi hizi sare sare zetu zinatosha kweli au bado kuna wengine wa uzeeni? 😅😅
Cc: 🤔Hahahaaa!
Hahahaa. Kwa kweeli.Swahiba tosha yan tosha kabisa swahiba 😀
Famasiara nini,enough swahiba 😀Hahahaa. Kwa kweeli.
ukiingia utaelewa tu somo



kwanini za uzazi sasa shoga angu,tutapeana nyingine



Una bahati una mke anapenda kuzaa! We piga mpaka wa kike apatikane...mi mwenyewe ninao wa kike wanne! Lazima nirudiNilitamani kuwa na watoto watatu (03), kumbe wife anatamani kumpata mtoto wa kike, akapata ujauzito mtoto kuzaliwa akawa me! Nikafikiri tutaishia 4, akawa ananiambia hivi nikiugua nani atakuwa ananiosha nikizeeka? Nami namjibu dada zako Wana watoto wa kike kimasikhara tu lol! Kushtuka kitu tayari! Hapa nawaza asipozaa wa kike itabidi tuongozane akafunge. Hapo bado nina 1 niliyempata enzi za ujana.
You mean hao wa 3 ni kabla ya ndoa? Umetisha mkuu😀Ninahitaji Tisa TU. Tatu tayari Bado sita. Sita watapatikana kwenye ndoa😂😂✍️
You mean hao wa 3 ni kabla ya ndoa? Umetisha mkuu😀
Yeah, hii ilikuwa part time😀😀You mean hao wa 3 ni kabla ya ndoa? Umetisha mkuu😀
Muda ndio huu. Mficha "Chiu* hazai!I wish to have 4 ila mpaka sahivi nna 0 sijui kama ntatoboa 4🤔
Safi sana endelea kuijaza dunia, ila uoe sasa😀Yeah, hii ilikuwa part time😀😀
Inshallah Mungu atajaaliaMuda ndio huu. Mficha "Chiu* hazai!