Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,574
Ndivyo akuavyo.Mimi kwangu nina msemo wangu mmoja tu, Utakula tu hata kikiwa kiporo! Ale hukoo abakishe nafasi ya kula cha nyumbani, kwasababu am sure siku nikiacha kumpikia hatoweza kula vya nje milele.
Mwanaume umleavyo.........
